Search results

  1. B

    Bodi ya mikopo - elimu ya juu

    Vuteni subira vijana muda bado
  2. B

    SABATO SABATO SABATO wanafunzi 8 wa teku wafukuzwa baada ya kukaidi kufanya mtihani jumamosi!

    Hapo haki haujatumika mbona udsm mitihani ya wikiendi mnaulizwa wanachuo wenyewe kama nafasi ipo mkipinga ratiba inabadilishwa kweli kwa stahili hiyo kuna umuhimu wa kusoma vyuo vya serikali jamani poleni wanafunzi wenzangu kwa kuonewa
  3. B

    boom boom boom boom

    Acheni kuongea kama mko fb nyie
  4. B

    DUCE Family on JF - Special Thread

    Ila Hostel ni game tu kuchaguliwa mara nyingi wanaangalia wa2 wanaotoka mikoa ya mbali
  5. B

    DUCE Family on JF - Special Thread

    Msidanganywe hostel zipo mfano duce penyewe,mabibo na mbagala hostel na kuhusu msuli hili ndiyo tawi la udsm linalosumbua hivyo kijana wangu issue ni kukomaa 2 maana ukicheza lazima utadisco
  6. B

    Natafuta kubebwa UDSM

    unachekesha udsm gani inapokea first year mwezi wa 2 ni tarehe 12 oktoba
  7. B

    Msaada wa jina helsb

    Nyie mnaacha kutafuta elimu kwa kusoma mnakaa kubishana na kuweka bifu za vyuo
  8. B

    Kwa nini tunabaguana sisi kwa sisi?

    Nyie muda wote mnabishana kuhusu ubora wa elimu acheni hayo mambo jadirini vitu vya maana kaka zangu
  9. B

    facts. SUA,UDSM,MZUMBE

    Vijana wenzangu acheni kubishana kwa sababu ya vyuo jadirini mambo ya msingi nyie vipi?
  10. B

    Hivi ni kweli kuhusu vyuo vikuu vya private......!!!!!

    Hiyo issue ya boom ukweli inategemea nguvu ya uongozi wa wanachuo jamani bila kujali chuo cha serikali au private mf.UDSM fedha ya field imetoka tofauti mwl nyerere na muce kabla ya UE lakini Duce baada ya UE(wanafunzi tukitaka kufanya mgomo ndiyo ikatoka) acheni kudharauliana kwa sababu ya vyuo...
  11. B

    je ni kweli tcu wametoa post za ud n mzumbe?

    acha mambo yako great thinkers are here and not facebookers
  12. B

    Hizi ni sababu za kukauka kwa uke wakati wa kufanya mapenzi

    Acha weee I like what u have written
  13. B

    waomba mikopo heslb 2013/2014 wote watapata kwa asilimia mia.

    Wakubwa 2juzane kuhusu kupanda kwa boom kutoka 7500 mpaka 10,000 je,issue hii ni ya kweli?
  14. B

    waomba mikopo heslb 2013/2014 wote watapata kwa asilimia mia.

    Acha utani kaka haya mambo utatufanya tuchanganyikiwe
Back
Top Bottom