Hapo haki haujatumika mbona udsm mitihani ya wikiendi mnaulizwa wanachuo wenyewe kama nafasi ipo mkipinga ratiba inabadilishwa kweli kwa stahili hiyo kuna umuhimu wa kusoma vyuo vya serikali jamani poleni wanafunzi wenzangu kwa kuonewa
Msidanganywe hostel zipo mfano duce penyewe,mabibo na mbagala hostel na kuhusu msuli hili ndiyo tawi la udsm linalosumbua hivyo kijana wangu issue ni kukomaa 2 maana ukicheza lazima utadisco
Hiyo issue ya boom ukweli inategemea nguvu ya uongozi wa wanachuo jamani bila kujali chuo cha serikali au private mf.UDSM fedha ya field imetoka tofauti mwl nyerere na muce kabla ya UE lakini Duce baada ya UE(wanafunzi tukitaka kufanya mgomo ndiyo ikatoka) acheni kudharauliana kwa sababu ya vyuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.