Wana JF,Waheshimiwa wabunge walisema wamepunguza siku za vikao,ili kupunguza matumi ya pesa ya walipa kodi sasa kwa nini wanapo ongeza siku wasisamehe hiyo posho kama kweli hawataki kuvuja sana pesa ya walipa kodi.
Wana JF,wizara ya kilimo ndio hiyooooooooo sijui tutegemee nini,mi ninacho ona watanzania tunajua kutengeneza Majina mazuri,hicho kilimo kwanza kitakuwepo kweli au maneno.hebu semeni juu ya hili.
Wana JF.juzi Jumapili ya Tarehe 20/7/09.Kupitia ITV niliona Mpambano wa ngumi kati ya jamaa mmoja mnene kidogo kutoka Zanziba na mpinzani wake kutoka Bara,Ilisemekana kuwa wale mabondia ni MASUPER STAR,cha kusahangazi Mchezo ukaonekana kama vile wa vichocholoni,hasa huyu jamaa wa bara kacheza...
Acha umbea wa kuharibu majina ya hivyo vyuo,ninawasisi na wewe kwamba la inawezekana ulisoma kwa cheti cha kufoji,acha watu wasome wa kikamatwa wewe hauta kuwepo,pilipili usiyo ila omba kazi PCB,
kusema kweli kwa sasa hata ukiwa kwenye Daladala ukipigiwa simu anaambiwa kuwa weka line ya Tigo,ukisema kwamba tigo yako umeacha nyumbani utasikia abiria wote wanaangua kicheko.mi sijui tufanyaje kuhusu hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.