Masikini,wenzetu wanajenga mifumo ya vyama toka vijijini,ati hapa kwetu vyama vyetu vinazunguka na helkopta siku mbili na kuchukua majimbo matatu vinadai vinataka kuchukua nchi uchaguzi ujao,kweli?
Mimi ni chadema lakini kwa mwenendo huu hatutafika, bado kuna matatizo mengi-5 kati ya wabunge 6...
Mimi naijua full story ya lwakatare.Alikuwa mpiga debe wa hali ya juu CUF,mwaka 2000 lipumba akamteua kuwa naibu katibu mkuu bara na baraza kuu la uongozi la chama chake likampitisha,then baada ya uchaguzi wa ndani ya chama wa CUF wa mwaka 2004 Lipumba aliposhinda alimteua kuwa naibu katibu mkuu...
Nadhani ni haki yake kujiuzulu,na sidhani kama ni pigo kwa chama chake! Katika kila chama kila mtu ni muhimu,alikuwepo mwalimu nyerere na sote tulidhani ni muhimu sana katika nchi yetu,mwalimu alifariki na nchi ikiwa katika ufisadi mkubwa na hali hiyo in aendelea hadi leo.Nadhani cuf wanaweza...
Nawapongeza sana wanafunzi wa mlimani na waishio mabibo kwa kuamua kutumia nguvu zao wenyewe ili wasiendelee kugongwa kama kuku hapo barabarani.
Unajua hapo njia panda ya kwenda hostel wanafunzi wengi sana wamegongwa na kuuawa tangu hostel zilipojengwa.
Nakumbuka ni ule uongozi wa julius...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.