VYanzo hutofautiana kulingana na jinsia na mabadiliko ya mienendo ya maisha kwenye jamii husika.
Tukianza na sababu ambayo inaingia kote au sababu ambayo inasababishwa na hali ya maendeleo kwenye jamii,hapo zaman kidogo jamii nyingi zilikua zikitumia miili yetu kama nyenzo ya kufanyia kazi...
Na yupo mmoja alikua anadanganya watu eti shule za bweni za serikali zipo 38,
Sasa najua anasoma huu uzi naomba apewe hii listi ya shule za serikali za bweni kwa ajili ya kidato cha kwanza.
Jibu rahis sana,
wengi wanapewa nafasi hizo kwa njia za panya,hivyo kwasababu sio uwezo wao hatimae huishia njiani.
Yupo jamaa yangu miaka ya 99 alipangwa day school wazazi wake wakaja juu kwanin apangwe day ikiwa ana akili sana?wakati huo mimi nipo shule ya bweni ya serikali,wakaminyana...
Ulitaka wapelekwe wapi?
Mimi wakwangu mapacha wamemaliza msingi ya serikali na kurwa ana wastani wa A na amepangwa shule ya kutwa ya kata.
Na wapo hapo hapo wenye wastan wa B wamepelekwa bweni.nilishatoa mpaka uthibitisho hapa walikua wanabisha wakabaki midomo wazi baada ya kuona ushahidi...
These are arming techniques broo,
Huwa zipo sana,kikubwa umuwini mshkaji.
Jiulize kwann ukiwa mpelelezi unaweza ku act kama chizi tena zaidi ya miaka,hizi ni mbinu tu.
ila ukweli utabaki kwamba IDF si kubwa kama vile ambavyo inaogopwa.
Nijuavyo mimi,hayo makabila yanayosemwa kwamba hayako romantic sio kweli,tunapaswa kujua tu kwamba shule zimeshafika kila kona sasaivi,kama walikua hawajastaarabika ilikua zamani sio sasa,
Ninachokiona mimi ni kwamba wanadamu tunaishi kwakutegemeana,hapo hapo kuna wakati kila mmoja anakua na...
Nilijaribu hii na kasichana kanaitwa Zai (mungu amlaze mahali pema peponi),kumbe watoto wenzangu walikua wanakula chabo,wakaenda kusema kwa bibi,bibi akauza kesi kwa dingi dah nilichezea stik sintokuja kusahau mpaka naingia kaburini.
Umenikumbusha enzi hizo mchezo wa KUWINDA NDEGE PORINI,
MJUBA NILIKUA NASOKOTA NYANGA ZANGU KAMA 100 HIVI,
ALAFU NAZAMA PORINI NIKIRUDI SIKOSI NDEGE KAMA 20 KWENYE KIFUKO,NILIKUA NALENGA NDEGE MPAKA WATU WANASTAAJABU.
SIKU MOJA NIMETOKA TU SCHOOL NILIVYOINGIA NDANI NIKABADILI NGUO NIKATOROKA...
Ipo namna ndugu,wewe usiseme eti hakuna cha rushwa,sawa hatujakataa kwamba hakuna rushwa ila tungefafanuliwa wanatumia vigezo gani kuwapanga hawa watoto kwenda kidato cha kwanza?mimi ninao watoto mapacha wamemaliza msingi hizi za serikali,mmoja amepiga wastani wa A na Hesabu ana A bado kapangwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.