Search results

  1. E

    Chuo cha Local Government Training Institute – LGTI

    Naomba kujua kuhusu chuo hiki, nimechaguliwa kwa kozi ya diploma. kipo umbali gani kutoka mjini dodoma?, umbali wa hosteli hadi chuo? nk help please.
  2. E

    Dovutwa yupo Eatv

    Duh aisee pia nimesikia huyu mzee hiv punde, kwa kifupi dovutwa anapelekeshwa na njaa tu km umemsikia anadai pia chama chao kipewe ruzuku, halafu ajajibu hoja alizoulizwa, japo mtangazaji pia yuko sharo maana alipaswa kumbana aweze kujibu ni aidha kakimbia swali au hajui kabisa kinachoendelea...
  3. E

    Paul Makonda: Ukawa wanalipwa laki nne (400,000/=) kwa siku kwa kutohudhuria BMK

    Duh hii kali konda hizo habari unazosema mbona ni km za mtu asiyepiga mswaki, rely of facts.
  4. E

    Lipumba: UKAWA hawatarudi Bunge la Katiba hadi waambiwe nini kitajadiliwa

    mie sio mpenzi wa mambo ya siasa, lakini kwa hili haliitaji elimu ya juu sana kujua nini kinapaswa kufanyika ninachofahamu katiba inatokana na maoni ya wananchi na ndio hayo ambayo yamewekwa ktk rasimu, sasa CCCM tena hapa namaanisha wabunge wa CCCM krb wote(ambapo ni ajabu wakawa na msimamo...
  5. E

    Chumba/vyumba vinapangishwa changanyikeni

    1. kuna chumba na sebule · self contained · pana packing · maji · gharama elfu tisini (90,000) 2. chumba kimoja · self contained · kuna packing · maji · gharama elfu hamsini (50,000) kama ni muhitaji basi piga 0752-531222...
  6. E

    help in ubuntu

    jf's i have installed wine in my ubuntu 11.4 but still it fails to open and edit my .pub files but it does only for .doc,.xls help me out of this mess.
  7. E

    ubuntu

    just google it
  8. E

    laptop not starting

    naomba msaada laptop yangu haiwaki kabisa ghafla,je nifanye checkup gani ya mwanzo.
  9. E

    Natafuta Web Host

    we do hosting and full support just at 200,000 per year web designing, at 600,000 per website database driven websites(php and mysql) software development were currently we have students management system,saccos solution you are welcome!! contacts: email:info@visualtechnologiestz.com...
  10. E

    kaspesky and window7

    JF guyz naomba mnisaidie nimeinstall kaspesky trial version sasa inaniambia imebakiza siku sita kuexpire nisaidieni jinsi ya kuingezea siku nipeni ujanja pliz!! pia window 7 inasema is not genuine nawezaje kuchakachua?
  11. E

    nauza external harddisk

    used man.
  12. E

    nauza external harddisk

    nauza external hard disk of 320GB at 90,000/= here in dsm contact info@visualtechnologies.com
  13. E

    Ni Mbunge, Mkuu wa Mkoa, kada na Rafiki

    honestry kuteua mtu km stella manyanya ambaye ni mbunge is totally unfair. kwani huyo mama sifa zake ni zipi za ajabu ambazo wanawake wengine hawana. This is totally unfair nataka katiba mpya jamani...
  14. E

    nahitaji hostel hapa dar es salaam that can accomodate more than 300 students

    anywhere within dar es salaam i said that can accomodate 300 students km ni watu4 per room its ok.help pliz
  15. E

    nahitaji hostel hapa dar es salaam that can accomodate more than 300 students

    KUANZIA LINI UNATAKA HOSTEL? for how long? age and sex of students? STUDENT'S EDUCATION LEVEL?? purpose of students in DSM?? DETAILS HIZI ZITASAIDIA KUPATA HIYO HOSTEL!!!! Kuanzia mwezi wa tisa kwa muda wa miaka 5 au zaidi age 21 and above all sex for degree level maeneo yaliyo rahisi kufika...
  16. E

    nahitaji hostel hapa dar es salaam that can accomodate more than 300 students

    Nahitaji hostel hapa Dar es salaam that can accomodate more than 300 students wana JF pliz
  17. E

    help on better antivirus

    naitaji ushauri wana JF,naitaji genuine antivirus that can save 100 users with minimum price na je hizi kaspesky au norton zinazouzwa elfu 35,000 for single user na 60 kwa 3 users ni za kweli. help me pliz
  18. E

    help on website

    JF guyz i have a simple website that i have developed i need steps on how i can upload it also companies responsible for domain registration and their fees,also what if i have a server how can i upload it in my web server help pliz.
  19. E

    MissTz 2010: Mrembo kakosa umiss kwa kujibu vibaya

    tatizo sio kumpigia kampeni jk tatizo ni wakati gani wa kufanya hivyo na kwa kiwango chake cha elimu kweli yule mrembo anatumia kamasi kufikiri.au kaambiwa ukimrusha kidogo tu jk basi unapata ukuu wa wilaye manake jk haeleweki.
  20. E

    help on web based applications

    Guyz i ask for help,currently am developing a web based application that uses PHP and mysql, i have put a link in my home page that directs to that application now the problem is hii application itawezaje kuwork ikiwa inatumia mysql as backend je hawa wanaohost watanitunzia na hiyo database...
Back
Top Bottom