Baada ya kuibiwa Sana na mafundi, kupoteza fedha nyingi, na kusoma thread nyingi kuhusu Toyota IST, namshukuru Mungu, nimepata fundi wa uhakika anayejua nini ni nini Yani nini kimesababishwa na nini, na nini afanye ili Kuondoa tatizo, Baada ya kumpelekea gari akaiendesha kwanza, alivyoshuka...
Yangu Mimi Ni 1NZ FE 1490cc, 4WD, IST shida nayokutana nayo sasa gariimebadilisha sound engine, ikichanganya inalia Kama Subaru, Yani inabadili mlio kama vile ni manual, si mda wote Kuna wakati inatulia na kutoa mlio vizuri, fundi kwenda kupima hakuona kitu, akapewa namba ya fundi mmoja wa...
naomba ushauri chief mkwawa
laptop yenye specs zifuatazo
8gb ram
500gb hdd
2-2.8ghz
i5-i7 generation
budget yangu ni 5k-9k
nia ni kwa ajili ya youtube channel TV, na kuandika vitabu.
je ninunue laptop ipi? aina gani? na wap? niko dar.
kuna madhara ya computer hizi za mtumba toka china wanazo...
Watanzania wengi wanaishi maisha ya kukopakopa. Huko kwenye kukopa ndiko watu wanalizwa vibaya sana. kama watanzania wengine nikaingia account ya tigo nikakopa airtime. Sasa nikasema ngoja ni clear deni lote leo. Haya ndo madudu niliyoyagundua; imebidi niandike ili watu tuwe macho kabla ya...
simu yangu pendwa niliiangusha, ikapata crake mwishoni sina mpango wa kubadilisha wala kuiacha. ni Samsung note 8, Kuna scree protector za aina nyingi sasa sijui niweke ya aina gani kusolve ilo tatizo. naomba ushauri
Mh Raisi Dkt. John Pombe Magufuli ninajua unapitia kwenye mitandao hii,Heshima yako,au una watu wako,wanaopitia naomba utusaidie wakazi wa moshi, ofisi za nida kwa kweli zimekuwa ni mwiba kwa wananchi,tunaomba utubadilishie watumishi hawa wasio waaminifu, dar vitambulisho mwezi mmoja tuu mtu...
Mh Raisi Dkt. John Pombe Magufuli ninajua unapitia kwenye mitandao hii,Heshima yako,au una watu wako,wanaopitia naomba utusaidie wakazi wa moshi, ofisi za nida kwa kweli zimekuwa ni mwiba kwa wananchi,tunaomba utubadilishie watumishi hawa wasio waaminifu, dar vitambulisho mwezi mmoja tuu mtu...
Flexible application timing pre - or post - emegence of both the weed and the crop. iyo statement kitaalamu ana maana gani? nimekuta maelekezo ya iyo dawa. je litre ni bei gani? heka inatakiwa litre ngap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.