Search results

  1. Y

    Mikopo kwa continuing students

    Inakuaje kwa sisi tuliosubmit wakati tunaomba,au tupeleke tena"barua za chuo"
  2. Y

    Majina HESLB yaongezwa

    Please niangalizie na hii S1437.0020.2010
  3. Y

    Majina HESLB yaongezwa

    Niangalizie na mm kaka S1437.0021.2010
  4. Y

    Nilichosikia kuhusu HESLB

    uko sahihi sana mkuu....
  5. Y

    HESLB wanamaanisha nn?

    Registration huwa unatumia pesa yako mkuu den ukipata boom utarudishiwa gharama zako,kwahyo keep on waiting mkuu...
  6. Y

    Mgomo waingia siku ya 3 Chuo Kikuu St. Joseph

    hao jamaa ni wazuri katika uhandisi na sio uwalimu,poleni sana jamani...
  7. Y

    Rais wa TAHLISO na Rais wa DIT wanashikiliwa na Polisi

    but its not fair kwanini wasitupe pesa zetu siku zote hizo na tukisema tunaandamana wanatukamata why....???? Tufanye nini sasa jamani na pesa hatuna....
  8. Y

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Hatamaye taifa letu laandaa taifa lenye vijana wenye mafunzo ya kijeshi lakini hawana ajila,je!hawaoni kama wataongeza idadi ya majambazi wanaojua kutumia siraha za moto tena za kivita????.....Taifa letu laenda wapi jamani...
  9. Y

    Mwenye taarifa/habari za waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka 2014.

    Soon baada ya hz paper za frm 6 watayatangaza,mwambie dogo asijali
  10. Y

    Msaada....Msaada...Msaada...

    Naombeni msaada jamani,other major tools of communication ni zipi apart from language?
  11. Y

    "Kwa wale waliokosa mkopo tu"

    pamoja sana kijana
  12. Y

    "Kwa wale waliokosa mkopo tu"

    pamoja sana kjana
  13. Y

    HESLB: tuliokosa mikopo kesho(ijumaa) tukutane ofisi zao mpaka kieleweke..

    inshaallah,mwz.mungu atie wepesi juu ya jambo hili na kesho tuweze fika hapo ili kujua mustakabali wa mikopo yetu....
  14. Y

    From h.e.s.l.b to wizara ya elimu

    yani ijumaa mpaka kieleweke wakuu....
  15. Y

    Majibu ya kupewa mkopo wizara yajibu

    bt jaman tumepanga kuwa kama majibu yao hayataturidhisha basi ijumaa asubuhi yani mapema sanaa tukutane posta ya zamani pale mkabala na NBC Bank kwenye garden ili tuende tena wizarani yani mpaka kieleweke..
  16. Y

    From h.e.s.l.b to wizara ya elimu

    hata mm nlikuepo bt kitu kinacho nichanganya now ni kumuona yule jamaa toka wizara ya elimu anasema ameongea na sisi na kutuambia turudi tena heslb kwa kupata ufafanuzi zaidi,kwa maelezo zaidi angalia chanel ten habari saa nne usiku huu
  17. Y

    Majibu ya bodi kwa waliokosa mkopo

    jaman hawa jamaa wangetuhurumia hata kidogo ss mayatima jaman
  18. Y

    Heslb makuzi kweli

    dah,jaman hii kweli ni kero
  19. Y

    Majibu ya bodi kwa waliokosa mkopo

    je,dedline ya kupeleka hivyo vyeti ni lini...??
  20. Y

    Heslb makuzi kweli

    pigen kikao na waandshi wa habari then mtujuze kinachoendelea
Back
Top Bottom