Mara nyingi mvumo husababishwa na gari kukatalia kwenye gear wakati RPM inahitaji gear kubadilika. Sasa huenda bearing ulizobadili hazikuwa nzuri hivyo jaribu kubadili mfumo mzima wa miguu ya mbele yaani hub za pande zote mbili. Pia angalia gearbox oil kama ulibadili na ukaweka ambayo siyo...
"Wema ndiyo uliomponza" Alisikika mama mmoja akisema maneno hayo.
Kaa utulie yasijekukukuta usiyoyastahili. Kama mwenyewe hajaona haja ya kuondoka kwenye vipigo na manyanyaso, wewe unataka kumuondoa huko ili iweje????????
Inaonekana unapenda sana kuloweka na kwenda uvinza. Wavaa kondomu huwa wanabaki na shombo ya mafuta ya kondomu, napo ni kwa muda tu maana akishaoga kila kitu kwishney. Sasa hiyo tabia yako ya peku peku itakuponza.
Mdogo wangu ulifanya kosa kubwa sana. Kumsamehe haikuwa tatizo bali kurejesha uhusiano wa kingono ndipo ulipobugi. Sasa huna namna pambana na udhaifu wa maamuzi yako.
Akili zao zipo kwenye sura zao ni kama wadada wenye makalio makubwa ambao akili zao zipo kwenye makalio. Kwa namna hiyo maarifa ya kutafuta pesa ni zero
Mapenzi ni hisia baina ya mtu na mtu, mtu na kitu au mtu na hali. Hisia hizo huongozwa na nguvu zisizoonekana kwa macho ambazo huvuta au huvutana na kukamilisha jambo ambalo muhusika hutulizwa au kupendezwa nalo.
Kwa tafasiri isiyo sahihi, wengi wanatafasiri mapenzi kama tendo la kujamiiana...
Ni sawa na kujaribu kunywa sumu, eti uone inafanyaje kazi. Usijaribu kabisa huo mchezo, utajuta au familia yako watashikwa na butwaa na mshangao wa kimataifa.
Hongera kwa uvumilivu na hongera kwa kuachwa. Wanawake wengine bana huwa ni pasua kichwa kweli. Ila kumbuka wewe ni baba wa mtoto wake/wenu hivyo hakikisha mwanao hawi sehemu ya kuachana kwenu.
Hebu fikiria uliambiwa wewe ndo baba mtoto na ukawa unahudumia kikamilifu halafu siku zinavyosogea unabaini kuna njemba nyingine kama mbili hivi nazo zinahudumia kwa kuwa nazo zinajua kuwa ni baba mtoto. lazima ule kona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.