Wizi wa flat screen tv pamoja na remote zake imekuwa kitu cha kawaida. Wezi huvunja madirisha usiku na kuiba flat screen na remote zake tu hata kama wakikuta kitu kingine cha thamani hawachukui, wengi tumeibiwa lakini mara ukiripoti polisi utajibiwa kuna kesi nyingine labda ishirini au zaidi za...
Na niombe kusema, kinyume na anavyotuaminisha anayejiita padri, katika biblia imeandikwa, na alaaniwe yeye alalaye na mamaye au umbu lake always yeyote. So kuoa au kulala na ndg awaye yeyote ni dhambi yenye laana kuu. Hapa mke wa ndoa hayumo na wala si pornea kama anavyotuaminisha padri fake
Ndoa kwa mujibu wa sheria za dini za kikristo zimeruhusiwa katika maeneo mawili, moja uchawiiodhihirika na pili uzinzi. Nasikitika mchambuzi kajikita katika tafisiri za kiislamu halafu akaziingiza kama za kikiristo. Iko mifano mingi na ya msingi katika dini za kikiristo zinajibu hoja yake...
Mimi ni mdau wa muda mrefu wa shule hii, toka miaka ile jamaa alipoanzisha chekechea nyumbani kwake pale Tabata magenegeni akiwa ndiyo anaanza, hadi pale alipoweza kuijenga Tusiime yenyewe bado nina watoto pale, japokuwa yule wa mwanzo alishamaliza akaenda shule nyingine. Tatizo kama mnavyosema...
sidhani kama ni rahisi mkiasi hicho, mwanamke afanyiwe massage na mwanaume kweli si balaa hapo, maana mwanamke akivua halafu jamaa akawa anapitisha mkno kwenye kisimi itakuwaje? mwanamke lazima atasiamama naye
MODS naomba msaada jinsi ya kulog in kwenye mobile fone katika jamiiforums.Kila nikiingiza username , ili niende kwenye password , ile username inafutika na hivyo nashindwa kuendelea kulog in. Ka mobile fone kana mtandao lakini. Msaada tafadhari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.