bod ya mikopo wametoa majina ya waombaji waliokosea kujaza form,na wenye dosar mbalmbal warekebishe kuanzia kesho mwisho tar 6 november.tafadhar cm yangu haifungui file la pdf naomba mnitazamie jina langu kama lipo kat hayo majin,jina ni MBUGI AKIDA HAMIS
naomba kujuzwa,nimeoa na mke wangu ni mjamzito miez 7,je kuna athar yoyote atakayoipata mtoto pind ntakapofanya mapenz na mke wangu??je mimba ikifka umri gan tunatakiwa tusitishe tendodo la ndoa kwa afya ya mtoto!!!?na pind atakapojifungua ni muda gan tunatakiwa tusubir
kama hujui wale wanaomba chuo kwa kutumia chet cha diploma lazima waombe kupitia nacte na sio necta kama ulivyoandika wewe,jua nacte na necta ni vitu viwili tofaut
sina shaka wewe bado fresh from school limbuken na maswala ya vyuo ndomaana unakejeli baadh ya vyuo,hujui maisha na hujui kuwa utakapomaliza hapo mkwawa unaweza ukawa chni ya aliemaliza ktk vyuo unavyovibeza au ukasota mtaan na waliomalza ktk vyuo vya kata kama unavyoviita wakawa wanapokea cv...
samahan wana jf kwamfano mwaka wa kwanza akibahatka kupata mkopo toka bodi ya mikopo kwa asilimia mia ni gharama zp atahtajka kuzilipa anaporipot chuo?na ile pesa ya matibabu kwa wale wenye bima ya afya inakuaje?msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.