Asante Mkuu
SOUTH AFRICA
MEXICO
Possession
South Africa 43%
Mexico 57%
Attempts on target
South Africa 3
Mexico 7
Attempts off target
South Africa 3
Mexico 4...
Wow!Mimi na wenzangu Mwaka juzi na Mwaka jana tulikuwa na Bahati ya kujua ni nani hawa jamaa tulikuwa na tamasha tunataka likiwa na lengo zuri sana kwa wasomi wa Tanzania na kuipa jamii mwanga wapi tulipo.Baadhi ya wakuu wa idara za Serikali walifiki kutuambia mambo ya ajabu. zaidi ya Wakuu 4 wa...
Hamkumbuki hata Zombe aliwahi kusimama na kutangaza mbele ya vyombo vya habari kwamba WALIOUWA NI MAJAMBAZI NA WALIPAMBANA NA POLICE KWA SILAHA NA POLICE WALIFANIKIWA KUWAUA
Jamani mtuhumiwa unatoa siri zake kweli kova kafulia sana
Eti anamiliki kihalali na inatumia risasi kumi tu; kwahiyo anawaambia majambazi waende na risasi zaidi ya kumi ili akiishiwa wammalize.
kweli kova umefulia unwezaje kutangaza silaha ya mtu anamiliki kihalali pia unataja hata aina ya...
Kweli jamani hivi ripoti mnayo maana mimi binafsi sijapata fulsa kuiona au sikuwa na bahati mwaka sasa unakaribia kweli siamini kama inawezekana katika zama hizi.
Mwenye ripoti hiyo naomba anisaidie ili nami niweze fahamu ni kipi kilijiri na kipi kilijiri.
Ahsante
Ok nafikili Tally ni poa zaidi pia; Nadhani MyOB setting ipo ya Transaction kuwa Tzs ila setting hizo ni rahisi zaidi kwenye Tally ukiseti inakuwepo moja kwa moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.