Ningependa kupata ushauri kuhusu solar power,je naweza kurun AC(air condition)kwa kutumia Solar power? kama naweza je natakiwa niwe na solar ya ukubwa gani na itanigharimu bei gani kama ntaamua kudeal na nyinyi?
Thank you.
YADAI ASKOFU KAKOBE ALITUMIA VIPIMO AMBAVYO SI SAHIHI
BAADA ya waumini kulinda majengo ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF) kwa takribani siku 77, mpambano na vyombo vya dola sasa umeiva baada ya serikali kuliruhusu Shirika la Umeme (Tanesco) kuendelea na mradi wa...
Showroom za magari ni kama biashara nyingine ilimradi magari yako usiyapaki ovyo nje ya uzio wako na kusababisha mtafauku kwa wapita njia...mkuu tukisema na baa zote zihamishiwe kibaha hiyo imekaaje?
Ni kweli wafanyakazi wa serikali wanapewa msamaha wa kodi yani exemption lakini ni mara moja ndani ya miaka mitano.lakini ni ngumu sana kumuuzia mtu mwingine bila kumwambia kama hiyo gari iliingizwa nchini kwa msamaha wa kodi,kwa kuwa pindi atakapopeleka kadi ya gari TRA kutaka kubadilisha...
Mi nafikiri tungewapongeza kwa kuwa wameweza kumshauri mnunuzi na kuridhika. kama mfanyabiashara utaweza kumake more than 100% profit,basi wewe ni succesful businesman na si wizi au utapeli kwakuwa biashara ni maelewano.
Kwa mtazamo wangu naona ni biashara kama biashara nyingine kwakuwa kodi zote zinalipiwa kama inavyotakiwa.sioni tatizo lake kabisa.
TUKURURU NA TRA wachunguze nini?
Nimekupata vizuri sana Mzee Mwanakijiji.ila tatizo kubwa tulilonalo Tanzania ni record na control ya watu wetu..kwakweli Serikari isipolitilia mkazo suala hili hatutapiga hatua yoyote kimaendeleo na itakuwa kama mchezo wa kuigiza. kwa mantiki hiyo basi,ni kweli watu wengi wanaitikia wito wa...
90% of the girls they mustabate when they take shower, and the rest 10% they sing..do you know what they sing about?? Ahmmmm nope. hahahaha.... so it means you are among those 90%..? Nooooooo...you are soo funny. Am mundele by the way, am Jane...Should i join you? Sure...
Thats my best...
"1-Imebainika kuwa shutuma zote zilizoelekezwa kwake ikiwemo ya Richmond ni Majungu na uwongo wa kipumbavu!
2-Ni msomi aliyebobea
3-Ana msimamo, na ana vision kubwa kwa taifa letu
4-Ana uchungu sana na hii nchi, na amezaliwa Igunga
5-He looked very smart(see the photo) and is a man of principle...
Nakuelewa pastor..kwa mwaka huo na pernaty uliyolipia hata bei yake kidogo inatakiwa iwe imechangamka. lakini 14m nyingi mkuu angalau 9m ningekuelewa vizuri sana yani hapo ungerudisha hela yako na faida ya kutosha.
Viza haina shaka,ukifika boarder tu dola 50 unapata viza yako ya miezi mitatu bila hongo wala fedha ya ziada na pindi ukiwa Tanzania unaweza ukachukua kabisa visa(Entry) ya Sudan kwakuwa nao wanavisheria vya kijinga kutokana na machafuko ya mara kwa mara..lakini kama una passport ya kikimbizi...
upuuzi mtupu,ukiona mtu amejitoa muhanga kiasi hicho basi ujue ushahidi anao,hakukuwa na sababu ya kuweka ushahidi kwenye kitabu hicho.kama ameweza kuwataja majina basi waliotajwa kama wataona wamedhalilishwa waende mahakamani full stop. eti "tunasikia raha wakubwa wanapodhalilishwa..."tuondolee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.