pole sana kwa msiba wa babu yetu! what we have to know is that all human beings we are under the ownership of GOD and he can take us anytime! take courage bro
pole sana kwa msiba wa babu yetu! what we have to know is that all human beings we are under the ownership of GOD and he can take us anytime! take courage bro
Mi jana jioni nimeenda kununua tiGO nusu sehemu ambayo huwa nanunua 500 tu wakaniambia gharama zimepanda akaniambia muuzaji nichukue ila baadae nimpelekea hamsin yake, mi nkafikri ananizuga! inawezekana ni kweli mtu wangu wmaepandisha!
Nakosa cha kusema! make mkuu data ulizota zinaonesha ni jinsi gani una uchungu na maisha ya walala hoi wa nchi hii in real sense we need people like you! sio kwamba nakupaka kilemba cha ukoka ila ukweli ni kweli umenikuna nikiwa kama mzarendo na mtu ninayependa maendeleo ya nchi yangu na...
Hafai kuwakilisha dhana ya utawala bora akiwa kama kiongozi aliyepewa jukumu la kutetea wananchi walio maskini! Hili ni tatizo la nchi yetu la kulinda watu wasio safi hata pale wanapoonekana wazi kukiuka maadili ya utumishi wa umma hawakuchukuliwi hatua! Kisa wanamtandao au wanaccm.kweli bora...
Sasa sirikali wafanye kazi ya kurudisha mafungu ya wafuja jasho wenzetu, inauma sana mjomba kuona hera zetu zinaliwa kiurahisi 2 kwa mchezo haram wa upatu! Lakin mi naona tatizo ni la hii hii sirikali, make wameshindwa kuwaletea wananchi maisha bora na kutafuta minubu mbadara wa kuwaondoa kwenye...
we must be very careful with people! mambo ya mapenz ndo yanaongoza kwa matukio ya vifo vya watu wengi. kaharibu future ya m2 na yeye mwenyewe!
KWA NIABA YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA 2NATOA POLE KWA WAFIWA WOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.