Taasisi ya NIMR hivi karibuni kupitia mtandao wa Zoom walitangaza nafasi ya Financial Analyst kwa ajili ya kituo cha Mbeya. Muombaji mmoja wa nafasi hiyo Bwana Damson Lwiva ambaye kwa sasa yuko Mwanza akifanya kazi na taasisi fulani (jina kapuni) tayari amekwisha ombewa visa kwa safari ya kikazi...
Hii siyo nchi ya Wadanganyika tena. Mwaka 2010 Kikwete aliahidi kununua meli kwa kila ziwa. Leo hii anaondoka madarakani hajanunua hata meli Moja. Kweli CCM ni ile ile ooh ni ile ile.... Lazima tuwaondoe Hawa wadanganyifu mwaka huu.
Nafikiri technical team ni weak interms of skills, owners hawasikilizaji utumbo huu sasa madhara tunayapata sisi wasikilizaji. Nimeamua ku stick channel Ten.
Prof wa China anakwenda US kwa matibabu. Hapo juu ni shimo la Dari ya VIP lounge airport. Na kuzurura kote hakuna alichowahi kujifunza. Airport yetu chafu na mbeya kuliko zote duniani, inavuja mpaka aibu rangi zimefubaa utafikiri unaingia jikoni.
Katika Hali inayo dhihirisha ya Kuwa serikali yetu imenuia kuleta matokeo makubwa sasa, ili ahadi zake lukuki zisizotekelezeka angalau zitimie ki- magumashi, tumelazimishwa kuchangia ujenzi wa kile wanachokiita Maabara. Katika zoezi hili linaloendelea serikali haijatoa pesa na ninaamini haitatia...
Dakika chache zilizopita polisi wamevamia msafara wa wafuasi wa chadema waliokuwa wametoka kuchukua mwili wa mpendwa wao mochwari ya hospitali ya rufaa ya Mbeya ambaye inasemekana Alifia magereza. Wafuasi hao walikuwa wakiimba nyimbo za kimapunduzi na pambio za kanisani. Walipofika usawa wa...
Ushamba wa walimu bwana,... Hapo mbeya Kwenye Kiwanis cha Saruji Songwe kuna lift mbili ziko tangia mwaka 1983 mpaka Leo hii. Hawa ndo tunawapa watoto wetu watufundishie???
Asubuhi ya leo nilichukua dakika chache kusikiliza na kutizama TBC kipindi cha Mahojiano na wabunge Dodoma. Waliongea haya:
1. Nini wamefanya kama wabunge:
(Silinde)kachimba visima kwa fedha zake za posho ya ubunge 40 Ml, kachangiwa na wananchi 28 ml. Hiyo ni Tunduma mjini. Kwa vijijini kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.