I like this comment lol!mdada unauonaje huo ushauri?sometimes watoto watakusumbua ukajuta kwa nini ulimuacha baba yao. Amua kuishi nae mzungu wa nne na usifuatilie mambo yake hayo ni mapito atajirudi na utabaki unahadithia
'Nchi nyingi za Ulaya na Amerika ya Kusini ni kawaida kwa mwanaume kulala chumba kingine na mwanamke kulala chumba Kingine. Jee kibongo bongo inawezekana (kama mna nyumba kubwa) mwanamke kulala chumba tofauti na mumewe? Inaswihii jamani!!?? '
Mbona tunaenda nje ya topic?kulala vyumba tofauti...
pole sana kaka mimi namwonaga nandipa wa isidingo ana relationship na wanaonyesha wanatumia institutions zenye kutoa directions za kitaalam. Inaonyesha kuna organizations ambazo zinatoa ushauri jaribu kuingia kwenye website yao unaweza ukakuta address za wataalam. Otherwise, jaribu kutembelea...
Mbona MC walidai wameshafunga CCTV cameras? Au walikuwa wanajikosha tu? Thubutu uingie usichukue kadi getini 5,000 inakutoka hivihivi! Nakuomba uliyepata mkasa huu piga simu ya polisi waliyoiweka hewani halafu uendeleze uchunguzi kama polisi watafanya nini utujuze.
Afu pia kwanini hukufanya...
VODACOM TZ wanajidai kutoa rambirambi kwa wahanga wa Z'bar hivi tuwaeleweje?au hizo 100,000 walishindwa kuzivumilia wakashindwa kuahirisha shindano uchwara?usanii mtupu hakukuwa na kipya sanasana inazidi kutoa washindi ambao tuna wasiwasi na uwezo wao wa kucompete miss world
lakini yataka moyo si kidogo!kuogopa kupigania kilicho chako is it easy na sisi ni binadamu? Nakubali hata wake wanachangia kumshawishi mume kutafuta pumziko. Shida ni kitchen party zisivyo na tija katika kumuandaa binti.
Hapo umetuboa!no sense na uwatake radhi wakristo kama waislamu wana matatizo yao ni high time ya kuyashughulikia si kusingizia wasiokuwemo
Kwanza kiongozi wa nchi mwenyewe muislamu na kazi yake siku hizi ni kufuturisha, mfumo kristo kivipi?
lakini G-Crisis si umesoma kwamba alijifungua njiti?hapo wa kulaumiwa ni hao waliomshauri aende kanisani hivyo hivyo na uchungu wake kwa kisingizio kwamba ana woga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.