Akitangaza matokeo hayo mkurugenzi Wa manspaa ya iringa. Msigwa wa chadema kapata kura 43,154 huku mwakalebela Wa ccm akipata kura 32,406 akifuatiwa na chiku abwao Wa Act akipata kura 411.
Ndugu Wa na JF Nimeona nijikite kwenye mambo ambayo mh. Jakaya Mrisho Kikwete inabidi kabla ya kuondoka madarakani atuambie wananchi kuwa alifikiwa...
(1) Dhana ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA iliishia wapi? Mbona watanzania bado hali ngumu!
(2) Alituambia kuwa anawajua watu wanaouza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.