Asante Ijabu kwa ufafanuzi, maana mkeka huu ulivyoandikwa ni msururu wa lawama tu zisizo na ushahidi. Ndo maana wengine tumepunguza sana interest hapa kitokana na porojo za kisiasa na uchimvi tu. Mwakyembe kafanyakazi Bwana! Amefufua sekta iloyokuwa ICU! Amekomesha wizi bandarini! Semeni na hayo...
\
Hapa brother au sister hujachangia anything intellectual au meaningful, unacheza tu na majina badala ya issues! Ama kweli level ya interactions ya JF imeshuka sana!
Mbona thread hii ni ya kijinga? Nape ni Mkristo, mlitaka aende msikiti gani au aende jamatini? Hivi tumefikia mahali ambapo viongozi hawatakiwi kwenda kusali? Kila kanisa linajisikia fahari kiongozi akiwepo na mara zote hutoa nafasi kwa viongozi ya kusalimia. Mnataka viongozi wakatae kuongea ili...
Kwani tatizo lako hapa ni nini? Kwamba Tanzania Daima ni gazeti la propaganda la Chadema? Mbona this is obvious: Tanzania Daima ni chombo cha propaganda cha CHADEMA kama lilivyo gazeti la Uhuru kwa CCM. Period!
Anatumia ipad2 kuwasiliana na wapiga kura wake wote ambao keshawagawia iPad1 zenye programs za Kinyiramba, Kirangi na Kinyaturu. Mwezi huu anamalizia kusimika super computer kwa ajili ya shule zake zote za msingi na sekondari na ameingia mkataba na MOWLEM Construction Company kujenga vyoo na...
Pia kawaachia wananchi contact za maswahiba wafuatao: Rostam, EL, Vijisenti, Yusufu Manji, Makamba Sr., Mwamvita, Serukamba, Komba, Millya,Makongoro na Mama Januari. Kwa kweli anafaa sana!
umepiga ndipo! Mwenye tatizo hapa la kuficha uchi ni lowassa! Longa lowassa longa kama wewe mwanasiasa mkweli! Sina shaka utalipua fataki za sitta na mwakyembe. Ukikaa kimya na porojo za "hatukukutana barabarani", tutajua unaogopa missiles za uhakika kutoka kwa wapambanaji!
Jamani let us be fair, hii miaka minne ambayo EL amekaa nje ya "madaraka", imemwondolea EL kwa kiasi kikubwa uwezo wa kutusaidia wanamtandao wenzake. Hivyo ni halali kabisa kwa EL kuwa Rais wa Tanzania mwaka 2015 ili kuwezesha, baada ya ukame mkubwa, kutwaa angalau mgodi moja au miwili ya...
Malaya wa kisiasa ni mtu wa kutangatanga toka chama hiki kwenda kingine, kama vile Lyatonga, Mpendazoe, Marando, Maghimbi, Shibuda, Tambwe Hiza, Shitamballah n.k. Sitta na Mwakyembe wametangatanga kutoka wapi na kwenda wapi kustahili nkuitwa malaya wa kisiasa? Lililo wazi hapa Mkuu, hii miamba...
NIMETOKA SASA HIVI KWA MWAKYEMBE AFYA YAKE KWELI IMEDORORA SANA LAKINI CHANZO BADO KUJULIKANA 100%
Ahsante kwa taarifa ambazo zimenifanya leo asubuhi niende nyumbani kwa Mwakyembe, (Mtongani, Kunduchi Beach, Dar es Salaam). Kwa kweli afya ya Mwakyembe ni mbaya sana. Kwa wengi waliomwona katika...
Ndo nini "na weye" Yahye kuandika kwa lugha ya kiingereza ambayo huijui sawasawa? Mtumee! Si Nape tu, sehemu kubwa ya Watanzania wenye akili wanauona muafaka kuwa dili la ulaji tu! Mwacheni Nape awapashe, Mdebwedo!
Sitashangaa kama Edo Mwamalala ni wale darasa la saba wanaojitokeza ghafla bin vu na digrii za internet na kujipenyeza kwenye vyama na kuukwaa uongozi. Badala ya hoja kujibiwa na hoja, Mwamalala goes for CCJ! Extremely cheap indeed!
Porojo za kisiasa au uelewa mdogo wa sheria? Mtu anapokupa siku kadhaa ufanye kitu fulani ama sivyo anakwenda mahakamani, ana maana siku hizo exactly zinapoisha au baada ya siku hizo kuisha anaanza mchakato wa kisheria? Mchakato wa kisheria Mkuu huchukua siku au wiki kadhaa, hukurupuki tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.