Unajua katika familia lazima pawe kiongozi wa kuleta order /displine sasa M23 ndiye kiongozi pekee anaeweza leta order pale estern congo,kuhusu uzalendo M23 ni wazalendo kama wengine ndani ya congo.
AHAHAAHA...Ungejua katika hayo makabila ya wahangaza,waha,wahaya n.k kuna matabaka ya watutsi ndani yao,sio kitu cha ajabu,hawa wote wanamahusiano na hizo nchi za burundi na rwanda kabla ya hii mipaka iliyowekwa na wazungu.
Mbona watusi walikua jeshini tangu zamani katika jeshi la congo,naona wewe utakua interahamwe tu,hao watutsi wa congo walikua serikalini,jeshini hata wakati wa mobutu,lakini baada ya kuja interahamwe wakongo walianza kuwabagua watutsi na kuanza kuwaondoa jeshini na kuwaua na huko uraiani...
Hi kwa akili yako rwanda inaweza watuma wanajeshi wao kwa nchi nyingine wakiwa wamevaa sare zenye bendera na vitambulisho?hao askali walichomolewa mpakani na makomandoo wa nterahamwe wakakabidhiwa DRC ili watumie kama ushaidi kwamba rwanda iko ndani ya DRC.
ahahaa hivi unafikiri vita nirahisi hivyo?tofautisha mtu anaepigana kutafuta haki yake na mtanzania ambae kaenda pale without any interest,wale ni wazawa wa pale wako tayari kupigana kwa muda mrefu sana,unafikiri ni nani anaweza vumilia kuona maiti za watu wao wakifia nchi ambayo si yao?
Nikuulize yule kiongozi wa alshababu msumbiji ni mtanzania lakini anaongoza wanamsumbiji,sasa tanzania ilaumiwe?yule alikua kama che guvara tu hakuana cha ajabu hapo
Kwa taarifa yako estrn congo ni shamba la mama,hakuna serikali huko,kila Genaral wa jeshi la congo anakikundi chake huko kinacho mchimbia madini,business people wanavikundi vyao huko,ndio maana inakua vigumu kuviondoa hivyo vikundi huko congo,sasa imagine Jeshi la DRC,FDLR ,NYATURA,MAYIMAYI...
ahahaha..hivi ni jeshi gani la nchi jingine linaweza ingia kichwa kichwa kwa nchi nyingine likiwa limevaa sare za jeshi lenye bendera na nembo ya nchi?kingine sare za rwanda zinafananaje?Je M23 haiwezi nunua sare zinazofanana na za rwanda au tanzania?sare sio kigezo cha kuamini kwamba rwanda iko...
Acheni kusingizia rwanda,hao DRC na M23 walifanya makubaliano na DRC mpaka sasa bado haijatimiza ahadi zake ,hiyo ndio sababu ya mapigano,haya ya rwanda kuitaka kivu ni uzushi tu,viongozi wa DRC wanatafuta uungwaji mkono wa wananchi wao na mataifa yanje,lakini ukweli ni kwamba DRC haitaki ku...
Unachosema ni kweli wakati wote wananchi wakiingiliwa na hizo itikadi za kibaguzi hayo ndio matokeo yake,na watu ambao wanapenyeza hizo itikadi ni wahutu ambao wameweza jipenyeza tanzania.
Hivi hata kama biteko ana asili ya rwanda na akawa na uraia wa tanzania na kaaminiwa na wananchi wakamchagua kama mbunge wao,nchi ikamuamini ikampa wizara na kaiongoza vizuri,hiyo wasiwasi uliyonayo unaitoa wapi?kama wewe sio interahamwe?
Nafikiri mnyarwanda wa sasa hahitaji uraia wa tanzania,anahitaji kufanya biashara na tanzania,na mnyarwanda yeyote mwenye pesa yake akitaka kuwekeza tanzania hawezi kuzuiliwa,uoga wa aina hii nikuonyesha kutojiamini na kuamini vyombo vya usalama vya tanzania,inabidi watu tufunguke wakati huu ni...
Nafikiri mnyarwanda wa sasa hahitaji uraia wa tanzania,anahitaji kufanya biashara na tanzania,na mnyarwanda yeyote mwenye pesa yake akitaka kuwekeza tanzania hawezi kuzuiliwa,uoga wa aina hii nikuonyesha kutojiamini na kuamini vyombo vya usalama vya tanzania,inabidi watu tufunguke wakati huu ni...
Unajua watanzania sio wabaguzi tangu zamani,lakini baada ya kuingiliwa na wakimbizi wa kihutu wenye itikadi ya kibaguzi wamefanikiwa kuwaroga baadhi ya watanzania ,ndio maana tunaona watu wenye mitazamo ya kiterahamwe,mtutsi ni mtu kama mtu mwingine,kama kawekeza ni kwafaida ya watanzania na...
Watutsi wa DRC walikuwepo pale hata kabla ya hiyo mipaka ya berlin ,pale ni kwao lakini kwasababu umeisha ingiwa na sumu ya uterahamwe huwezi elewa,vita ya DRC ilikuwepo tangu zamani na imekua mbaya baada ya interahamwe kuvamia estern congo,sasa wanachofanya hao M23 nikujihami na hao interahamwe...
Hili neno Bahima Empire nikitu cha uzushi tu,katika karne hii utawezaje kuweka empire?hawa watu wenye chuki na watutsi walitafuta kitu cha kuwatenganisha waafrika kuwafanya watufulani kujiona watutsi/hima na wengine wahutu ili pawepo uadui kati ya makundi hayo mawili na watu waishi wakiwahofia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.