Habari za muda huu wana jamvi, poleni kwa majukumu na harakati za kila siku za ujenzi wa taifa na kuhakikisha mkono unakwenda kinywani. Bila kuchelewesha muda niende moja kwa moja kwenye mada. Uumbaji wa dunia na vilivyomo ni wenye kupendeza na kutukuka sana. Ila kwa bahati mbaya mwanaadamu...
Tunaisha katika namna kuu tatu, akili mwili na roho.
Mwili - ni wewe katika umbile, ukijitazama kwenye kioo utajiona.
Akili - ni wewe katika ufahamu na yale unayo yajua.
Roho - ni wewe katika nje ya akili na mwili.
Tuziite hizo namna tatu ulimwengu, kwa hiyo kuna ulimwengu wa mwili akili na...
Bangi si kama watu wengi wanavyo itafsir, na pia haina addiction kama wengi wanavyo dhani.
Ina virutubisho vikuu viwili ambayo ni THC na CBD. Hivi ni virutubisho muhimu kama vile tunavyovitafuta katika matunda. Lakini THC na CBD inaenda kwenye Pineal Gland, ambayo ni sehemu ya ubongo...
Nafsi ambayo haina raha utaijua tuu, mi siamini kama wifi yako hapendi uwe hapo ila ww tuu nadhani utakuwa muda mwingi ni mpweke ukiwa hapo home kwa bro wako.
Hebu jichanganye, enjoy life there na mfanye rafiki huyo wifi yako na muda utafika na ww utakuwa na kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.