MTOTO ALIYEPOTEA AMEPATIKANA MLANDIZI KIBAHA
JINA: MWANAIDI ADHULAH RAMADHANI,
UMRI: MIAKA 15
JINSI: KE
ANAKOTOKA: ANDENI TANGA KIJIJI CHA ANDENI BONDENI... ALIKO SASA : MLANDIZI KIBAHA
KWA:
NDUGU, JAMAA AU YEYOTE ANAYEMFAHAMU AWASILIANE NA USTAWI WA JAMII H/W KIBAHA KWA NAMBA HIZI: 0757 476181...
Ally Hana jipya kwa wimbo gan haswa? Kucheza hajui wimbo mmbaya! Hana uwezo wowote ndio mana hakuwepo wamembeba sana! Hawawezinkuxuia mafuriko kwa mikono
hongera kamanda sugu pia kwa utetezi wako wa kusimamia maslahi na haki ya wafanyakazi wa TAZARA mbeya,kuhusu wizi wa maliasili waache waendelee kubeza kaka hao skio la kufa...
Hawa wasanii bongo muv ni mafala asee hawajitambui hawajifunz kwa wenzao bongo flava wote waliotumika nyakati za kampeni za ccm wako wap saa hiz?....wote choka mbaya ccm imewatekeleza na raia wamewapotezea... wamuulize maro the talented one alilewa sifa mpk akakubali kutumika na ukawa mwisho...
Hawa wasanii bongo muv ni mafala asee hawajitambui hawajifunz kwa wenzao bongo flava wote waliotumika nyakati za kampeni za ccm wako wap saa hiz?....wote choka mbaya ccm imewatekeleza na raia wamewapotezea... wamuulize maro the talented one alilewa sifa mpk akakubali kutumika na ukawa mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.