Tanbihi....Wakati Rais Benjamin Mkapa anwapa Waislamu Chuo cha Tanesco wakigeuze kuwa chuo chao kikuu, Wakristo walishapewa Chuo cha Benki Iringa walichokifanya kuwa Chuo chao Kikuu... Ben alikuwa anaweka sawa mizania, hakuwapendelea Waislamu.
Kuwahamisha Wapalesyina kwa nguvu au kwa hila kutoka katika ardhi yao, udharimu uliokithiri, uvunjifu wa sheria, na ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu.
Wapalestina na Wayahudi walikuwa wakiishi kwa kushirikiana kwa miongo mingi kabla Mazayuni hawajaja na njama za kuwafarakanisha ni kutaka...
MJINGA ni yule anayetoa maoni yake lakini anakashifu maoni ya wengine kwa vile tu yanakinzana na utashi na matamanio yake!
Katika hilo hata ngumbaro anadiriki kumkebehi mtu kama Prof Mkumbo na Msomi Zitto kabwe kuwa ni wajinga! huku akishindwa kukosoa ama kujadili haja walizotoa kimantiki...
Watanzania kwa kutojiamini wapo wengi sana...Kila mara hawaoni kama wanaweza kufanya makubwa bali wanadhani majirani na wale wa majuu ndio wenye haki miliki za kufanikiwa lakini sio wao...Ni Ujinga uliopitiliza.
Wanaosema matokeo ya kidato cha sita ya mwaka yana mushkeri watoe data za kuunga...
Umekurupuka mzee.Tamthiliya ni sanaa na maudhui yake yanaweza kuwa na tafsiri tofauti katika hadhira tofauti, na inaposababisha mjadala mkubwa, ndiyo kiashiria kuwa ujumbe uliokusudiwa umefika umefikishwa!
Mzee usikurupuke, vuta subira kwanza na ufanye utafiti wa kina kuhusu jambo ili kupata ushahidi usio na shaka kuhusu unachokizungumza.
Kwanza hiyo ndege ya Rais aina ya Gulf stream ina uwezo wa kutua viwanja vikubwa na nakumbuka viwanja hivyo vilitajwa kuwa ni pamoja na Uwanja wa Kimataifa wa...
Hadithi ndefu lakini haioneshi ushahidi wa madai kuwa serikali inataka kuwaondoa Wamasai ili iliuze eneo kwa kampuni Ortello (OBC)...Nilichokisoma ni dhahania tu na upigaji ramli chonganishi!
Serikali ina wajibu wa kulinda watu wake na raslimali zake katika uwiano muafaka wa win-win situation...
Mungu usipomshukuru anapunguwiwa ni au ukimuabudu anapata faida gani? Kwa mukhtadha wa hoja zako dhaifu jibu ni kuwa hapati faida yoyote na hapungukiwi chochote!
Ndugu yangu Dini ni imani. Haihitaji akili za kimantiki wala utashi wa kibinaadamu kuamini Ukuu wa Mungu, na wajibu wa binaadamu...
Dogo jinga weye jitambue weye!
Umri wa miaka 42 bado unaishi kwa baba yako kweli?
Kwa umri wako na elimu yako ungepaswa sasa uwe unamsaidia baba na mama yako kujikimbu kimaisha kama fadhili ya kukulea na kukosomesha na sio kudai eti 'mgao wako'!
Unataka kumrithi baba yako kabla hajafariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.