A 3 Bedrooms House, fully furnished, fenced and has a large garden is available for rent immediately. The house is self-contained with two toilets - cum showers.
The house is located in a fast up - coming commerial town of Babati in Manyara Region along the Mrara exclusive area. Previous...
Hii ni big threat kwa Microsoft Word and Office users. When they say Microsoft will keep supporting them, what they don't say is until when and what is the substitute. Haya ndiyo madhara ya Technology depedence, hatuna jinsi.....wakuu mnasemaje? what is the way out?
Habari njema hii. Nipo kwenye Cybercafe business na ningeoenda ku upgrade to ISP, please ningependa kupata more info, tuwasiliane via bmkunyi{at}gmail{dot}com
Wanaopinga mahakama ya kadhi wanapinga kitu wasichokijua, hii ni dangerous, na kwa kweli wamekurupuka kupinga.
Mahakama hii ilikuwapo hapa (Tanganyika) wakati wa ukoloni na baada ya uhuru, lakini ilifutwa wakati wa awamu ya kwanza ya uongozi wa nchi hii bila sababu wala maelezo. Zanzibar bado...
These are the true colors za wakatoliki, sasa makucha yapo nje nje. Niwakumbushe tu usia wa Baba wa Taifa kwamba chonde chonde waachane kabisa na dhambi hii wanayotaka kuitenda ya ubaguzi kwa misingi ya dini, hawatakaa salama hata wakichukua dola.
Hawa ni mafisadi, wanatafuta pesa za takrima kwenye uchaguzi wa 2010. My advice...nunua line nyingine not Vodacom, wateja wengi wakianza kuwahama watapunguza bei tuu...
Huyu Mpendazoe ni Mbunge wa Jimbo la Kishapu, Shinyanga na mgodi wa Almasi wa Williamson Diamonds Ltd upo katika jimbo hilo. Mgodi huo uliokuwa ukimilikiwa na De Beers SA uliuzwa kwa $10M kwa kampuni ya Petra UK bila ya TZ Govt, ambaye ni 25% shareholder, kushirikishwa na Mpendazoe akiwa Mbunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.