Search results

  1. itara

    Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

    Duh nimesoma comment zote bila uchovu..kuna vitu vingi najifunza kuhusu maeneo ya kazi kuna taasisi naona ni bora iongezewe majukumu kuliko kujikita kwenye afya na usalama mahala pa kazi basi ifikie ba huku..
  2. itara

    Mikasa/vituko vya lodge

    Aisee hata pale segera kuna lodhe ya hivyo, kitanda kina tailizi kabisa sema hakina uvungu
  3. itara

    Kiasi cha oxgen Kiko chini

    Pole sana kwa tatizo ulilonalo.. Niliwahi kushauriwa nikiwa na mgonjwa wangu kuwa ajaribu kufanya mazoezi ya kupumulia kwenye mapulizo...yaaani kulijaza kwa kupuliza kila mara..
  4. itara

    Wapi niweke vya kukaa na wapi niweke vya kuchuchumaa

    Weka vyote pote... mtu ndio aamue mwenyewe ku chuchumaa au kukaa
  5. itara

    January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

    Walivyotishiwa biashara ziliendelea na kodi zilikusanywa na faida tulipata, kwa hali ilivyo sasa ni hasara...samaki, upatikanaji wa huduma muhimu kama ashine ya ku pampu maji nk ni shida
  6. itara

    Faida na hasara za uhamasishaji wa Mwijaku Simba

    Lopolopo[emoji1]
  7. itara

    SoC01 Tahadhari: Biashara za mtandaoni ni chanzo cha umaskini

    Basi wakati naanza kuusoma uzi nilijua ni hizi biashara za instagram na facebook au jiji kumbe ni hizi za bahati nasibu
  8. itara

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nadhani na hizi teuzi na tenguzi zipitie huku kwanza twiter ni mbali
  9. itara

    Hivi kwanini vitabu vya Gamba la Nyoka na Kaptula la Marx vya Kezilahabi visitumike kufundishia Fasihi mashuleni?

    Kwenye kazi ngumu kidogo za kifasihi nilizowahi kusoma nibza huyu mwandishi, nilitsmani kuandika ka yeye, wahusika wake walikuwa wapo vizuri ni lazima usome sana falsafa na hata saikolojia, kwa upande wa upangaji wa matukio alikuwa vizuri... Halafu vitabu vyake ni kama series vile, mfano...
  10. itara

    Uzi wa Series/Movie ngumu kueleweka

    Kuna ambazo niliziona ni ngumu ila baada ya kuzimaliza nikaona ni rahisi tu, sema series nyingi ambazo ni ngumu zinabase kwenye utafiti na mawazo ya kwenye vitabu sasa inakubidi uwe unatazama na unatafuta finding zako kwenye vitabu...mostly ni zile ambazo zina falsafa na uchunguzi au operesheni...
  11. itara

    JamiiForums Usiku wa manane

    Ni kama alarm ya kwenda kulala, sasa
  12. itara

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Ntwara kuchele
  13. itara

    Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

    Hawa jamaa ndo wenye mnofu kama wa kambale mkubwa aliyepasuliwa katikati. Tunawachanja sana na majembe ya tractor wakati wa kulima Sent using Jamii Forums mobile app
  14. itara

    Harufu ya ubwabwa porini

    Sasa hivi kuna harufu za viazi vitamu vya kuchoma sijui nayo ni nini? Nipo porini sana sema kuna tambarare pana na baadhi ya mito nasubiri nijue ni kitu gani hiki hii harufu inakolea mno majira ya saa mbili usiku
Back
Top Bottom