Wankyo ni kidume cha mbegu.... Igp hana hata chembe ya uwezo wa kuliongoza jeshi la polisi.... Safi sn kwa lithubutu na atapata haki yake ni swala la wakt tuuu...
Sio hamtaki kupotoshwa ila mnataka nyie na watoto na vizazi vyenu visiione pepo kwa mafundisho ya uongo na ya chuki..... Eti ukijilipua unaenda peponi huyo allah wenu bana aisee....
Nipo baa apa dem mmoja anawaambia wenzake mimi nikiumizwa na nliyekua nimempa moyo wangu wote ndani ya wiki maumivu yameishaa afu anakua keshapata mwengine..... Anaongea huku ananitizama
Kisaikilojia/kitaalam hii maana yake nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.