Muanzisha uzi hilo suala hutokea na usijali haupo peke yako
Usiniulize nimejuaje kwamba mhusika ni wewe
Jambo la msingi, usimvunjie heshima mumeo ktk baada ya kuingia kwenye huo ulimwengu
Wahenga walisema, "mwanangu kuwa uyaone" ndiyo hayo sasa
Though ni mtihani wenye hatari nyingi na kubwa
Also look at it from another angle as well....ni dalili ya kuvimbiwa...watu wanalalamika gharama za mafuta na maisha kwa ujumla zimepanda wewe unakuja na majivuno...
Uzuri ni kwamba watu wa aina yako huwa hamdumu katika gemu...muda si mrefu hata kazi unaweza kupoteza kutokana na kuamua kukiuka...
Hiyo harufu kwetu wengine inaongeza mzuka....tunatembea na viberiti..."wazee wa viberiti"...unavutia stimu...ishh... mtoto bikra huyu:smile-big::smile-big:
Usikufuru...hakuna kitu kinaitwa mavi:nono::smile-big::smile-big:
Ni dhahiri kwamba Ndugu H. Polepole ameonesha uwezo mkubwa katika kufikiri na kujenga hoja. Ingawa kwa wanaomfahamu wanasema ni mtu mwenye uwezo tangu akiwa shule na mahala pengine alikopita, lakini mimi naamini kwamba kuwepo kwake na kufanya kazi kwa karibu na kujifunza kutoka kwa watu kama Dkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.