Ufafanuzi kidogo Sielewi kwanini mnaita serikali ya awamu ya Sita! Rais na Makamu wake waliingia pamoja kuongoza serikali ya awamu ya tano. Rais amefariki hivyo Makamu amekuwa Rais. Kwenye rekodi tuna kuwa na Rais wa Sita wa awamu ile ile ya tano.
Kuna tofauti Kati ya neno “faith” na “beliefs”. Pamoja na uelewa wangu mdogo wa mambo ya kidini na elimu dunia. Binafsi fikra zangu huteseka sana kuhusiana na mapokeo ya kiimani. Imani ya kuamini kuwa ipo nguvu inayotuweka duniani naamini 100%. Neno linalofuata kwangu. Je! Ni lazima kuwa na...
nimekuwa navutiwa sana aina ya uwajibikaji binafsi wa Kinana, amekuwa na mtu asiyependa kujikweza katika kutimiza majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kushiriki shughuli za wananchi moja kwa moja, kama mnavyojua kuna viongozi ambao huwa wanaigiza kuonekana ni watendaji ilhali hawawezi, pia viongozi...
jamani naomba kujua kutoka kwa wadau, maana bado nafikiria kati mambo mawili ni lipi bora kati ya kununua nyumba zilizo katika miradi ya taasisi kama NHC, NSSF nk. au bora kujenga, maana shida ninayoipata bei zinazotajwa humu za ujenzi zinawiana na bei za nyumba zinazouzwa, na la msingi maeneo...
Wakuu nahisi naingizwa mjini na ndugu yangu ambaye nilijitolea kumsomesha Tumaini, alijiunga na kuniletea joining instruction ikinionyesha kiasi cha ada na mahitaji mengine, ila baadae nimekuja kugundua kuwa ali-apply mkopo HESLB na kupata na wala hakunipa taarifa, kwahiyo nikawa natoa ada kama...
Jamani mimi nataka kuagiza gari uk,na jamaa wamenitumia proforma invoice, niwalipe,sasa nakwazika na usalama wa hela yangu isije ikawa kilio cha mwaka,
wanavyoeleza benki za ulaya kwa hela zote zinzoingia lazima udhibitishe unatumia kwa shughuli gani, kwa maana ya kuwapelekea document.
gari za injini nyuma katika mazingira yetu hazifai kutokana na hali ya barabara zetu sehemu kubwa ni milima na cooling system yake haipo vizuri sana. wengi walijaribu kuzinunua kipindi cha nyuma kutoka kwenye scania, mitsubishi,volvo lakini kwa sasa hakuna hata moja lililopo njiani sasa.
Wana jf
naombeni kujua kutoka kwenu maendeleo ya tafiti ya kupata tiba ya kisukari, maana ukimwi wataalamu wamejitahidi sana, ndio maana zamani mtu akipima akipewa majibu kuwa ana ukimwi watu walikuwa wanajinyonga ila sasa kuwepo kwa arv imekuwa mkombozi kwao.
Moja ya tiba ambayo watu wengi wa...
Ndugu wadau,
naomba kujua maendeleo yaliopo sasa katika tiba ya sukari duniani, maana naona tafiti nyingi zimelenga kutafuta tiba ya ukimwi ila maradhi mengine ambayo ni tishio kwa jamii hayapo wazi.
Wadau naomba kujua kutoka kwenu, maana asili ya ugonjwa wa sukari ni kongosho(pancreas)...
nimekuwa nashangazwa sana na akili za watu kutokana na matendo ambayo binadamu hufanya, maana katika maisha kuna binadamu wameamua kuishi katika aina fulani ya maisha, mfano mwizi au jambazi, ushoga, mlevi wa kupindukia,na mambo mengine mabaya kama hayo ambayo watu hao ndio identity yao katika...
jamani naomba muangalie hali halisi ya mtanganyika anaeishi zanzibar kwa sasa hali anayokabiliana nayo ndio utaweza kufanya tathmini ya umuhimu wa muungano.
1.uchomwaji wa maeneo ya biashara mf.baa na maduka ya curio craft. mengi ya maeneo haya yanamilikiwa na watu wa bara.hakuna sehemu...
Serikali imefanya sahihi maana noah sio basi ni gari ya kifamilia zaidi,imehalalishwa kubeeba abiria saba tu,ila angalia kwa sasa idadi ya abiria inayobeba hadi kwenye buti,na katika mazingira ya kijijini abiria mwenye mzigo hawezi safiri. Kwakuwa hamna mahali pa kuweka mzigo,pia nauli zao...
Nimejiuliza maswali mengi sana kutokana na hoja iliyopo mezani,hawa wahindi na waarabu katika ubinafsishaji ndio wengi wao waliuziwa mashirika na viwanda mbalimbali ambavyo vingine vimekufa na vingine vimebadilishwa matumizi yake.pia hoja ya pili ni kuwa hawa jamaa tupo nao tu ila wanauraia...
yaani wajitu mingine bana,inapotosha watu ile mbaya,harrier yenyewe ni ya mtumba huwezi compare hata kidogo na magamba wenye anayenunua gari jipya kabisa la land cruiser gx,au vx,hela ya vx utapata harrier 10,sasa yupi ni fisadi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.