Search results

  1. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sehemu ya kuweka vyeti, barua na mazaga mengine utaikuta mwisho kama umeshamaliza kujaza zile sehemu za mandatory yaani zenye mark ya * nyekundu then nenda sehemu ya search job kwenye menu ya portal then chagua post unayotaka kuapply then itafunguka ndio utaona hizo sehemu za attachments nadhani...
  2. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sehemu ya kuweka vyeti, barua na mazaga mengine utaikuta mwisho kama umeshamaliza kujaza zile sehemu za mandatory yaani zenye mark ya * nyekundu then nenda sehemu ya search job kwenye menu ya portal then chagua post unayotaka kuapply then itafunguka ndio utaona hizo sehemu za attachments nadhani...
  3. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sehemu ya kuweka vyeti, barua na mazaga mengine utaikuta mwisho kama umeshamaliza kujaza zile sehemu za mandatory yaani zenye mark ya * nyekundu then nenda sehemu ya search job kwenye menu ya portal then chagua post unayotaka kuapply then itafunguka ndio utaona hizo sehemu za attachments nadhani...
  4. M

    Nafasi za Kazi TRA

    Hapo ndio rafu itachezwa zaidi bora ilivyokuwa under Utumishi ila saivi wamepewa rungu wao hapo tutaona kila rangi
  5. M

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Second selection polisi hiyo
  6. M

    Hivi Tanzania kuna Cybercrime kweli?

    Ukiitukana serikali ndio utajua ipo au haipo
  7. M

    Tanzania: Serikali yapiga marufuku watoto kukaa bweni (boarding) kuanzia darasa la nne kushuka chini

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imekumbusha kuwa hairuhusiwi huduma ya bweni kutolewa kwa wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza hadi la nne, isipokuwa kwa kibali maalum kitakachotolewa na Kamishna wa Elimu baada ya kupokea maombi rasmi kutoka kwa mdau husika. Taarifa...
  8. M

    Sugu: TRA siyo CHADEMA, acheni janja janja lipeni kodi

    Kodi nilipe halafu wapuuzi Fulani wafanye ufisadi kodi yangu unasikia tu mabilioni yamepotea bila hatua yoyote ni bora kuendelea kuwa janja janja kwenye kodi sababu wanaofaidika wachache wengi wanaumia, laiti TRA nguvu wanayotumia kukusanya kodi wangeitumia pia kukusanya na kuadabisha mafisadi...
  9. M

    Mambo ya muhimu kuzingatia kwa wale tunaoomba kazi

    Andiko zuri sana vp suala la connection maana unaweza timiza yote hayo bila connection wanasema ni kazi bure, nini maoni yako
  10. M

    Simba Sc ijiandae na fitna nchini Angola

    Kwani Angola hatuna balozi? Balozi wa Tanzania yupo atakuwa mwenyeji No 1 pia simba ni club kubwa hizo figisu washauri yanga
  11. M

    Msaada wakuu, natafuta ajira yoyote

    Biashara gani unaweza kufanya au wazo la kufanya biashara?
  12. M

    Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

    Pouwa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Kwa wanaohitaji Line za Safaricom zimefika Tanzania

    Nahitaji line mkuu npo songwe ntaipataje bei yke na ya usafiri? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

    Utaratibu ukoje mkuu?
  15. M

    Tanzania SGR inajengwa Usiku na Mchana.

    Mchakato WA ajira kwenye huu mradi upoje jamani wale mnaofanya kazi huko nahitaji kupata ajira huko?
  16. M

    TRA: Tumekusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.65 kuanzia Julai hadi Septemba 2017(Robo ya kwanza mwaka wa fedha 2017/18)

    Kwel jamani mnategemea transparency hapo if serikali yenyewe kupitia TRA ndo inayokusanya kodi so wanaweza kutangaza kiwango chochote wanachoona kinafaa kwa wadanganyika
Back
Top Bottom