Unajua kumbe kusoma hoja za watu ukiwa kama observer ni vizuri sana. Nimefuatilia majibizano ya Mtoto na Nyani Ngabu kwa makini zaidi. Ila kilichonisikitisha ni kwamba mtoto ameshindwa kuelewa kuwa Nyani alikuwa akijaribu kuanalyse hoja anayoona ni sahihi anasema ok, ile ambayo si sahihi anatoa...
Wenyewe humu ndani: Kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili nikiwa kama member. Nimekuwa nikisoma kwa mda mrefu sasa bila kujisajiri leo nimefanya hivyo. Hata hivyo, kabla ya kuanza kushiriki utowaji mawazo napenda kuomba ushauri kitu kimoja kutoka kwenu. Mimi ni graduate wa UDSM BA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.