fisadi si lazima awe serikalini, fisadi ni mtu yeyote anayejipatia pesa kinyume na taratibu za nchi husika. mfano kunawafanyabiashara wanaingiza mizigo yao bila kulipa kodi, wengine wamekuwa madalali wa raslimali za watanzania a.k.a madalali
fisadi si lazima awe serikalini, fisadi ni mtu yeyote anayejipatia pesa kinyume ba taratibu za nchi husika. mfano kunawafanyabiashara wanaingiza mizigo yao bila kulipa kodi, wengine wamekuwa madalali wa raslimali za watanzania a.k.a madalali
hayo maandamano yako kwenyemasaburi yako or? Mimi nipo hapa chuo cha maendeleo ya jamii buhare na sijaona maandamano au inawezekana hao wanaandamana kwa kiini macho? kweli wapuuzi ndio waliwao.
da viplate vya Cdm mnamatatizo sana, kugawa tigo kwenu kuaribu mikoa kama Arusha nyie, wake za wetu eg mzee slaa life nyie kugawa mgongo Dubai nyie da mtafanya maendeleo lini? mh. liverpoolfc achana na wauza migongo hao
nakupongeza sana kwa uchambuzi wako ila ulichosahau ni picha za muhusika na baadhi ya nyaraka za kesi hiyo. kwa Tanzania huyu jamaa bado no msafi ata kama utapandikiza chuki. zenda moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.