Kapombe Transfer Saga9, June, 2014 Blog, Ligi Kuu, News No comments
Taifa Stars defender, Shomari Kapombe transfer is sure to go down as one of the most controversial dealings for many past and future seasons. His overseas trials and eventual transfer to France fourth division side, AS...
Mkuu mbona umejibu kwa kupanik as if hauko katika mud nzuri.
Kwani kuuliza swali ni kuchonganisha? Kivi tunataka kukuchonganisha na serikali,
Nilitegemea angalau ungetujulisha umma wa wapenda soka wa Tanzania ilikuaje au nini kilikuwa mpaka mchezaji akashindwa kupata HATI kwa haraka kuwahi...
Habari Mr PRESIDENT MALINZI
Ok mr president kuna suala hili la mchezaji MWASAPILI wa MBEYA city kushindwa kusafiri na timu ya taifa kwenda Namibia kwa mechi ya kirafiki sababu ikiwa zinahusu HATI YA KUSAFIRIA {PASIPOTI}.
Mkuu kabla hujajibu swali langu niseme kitu kimoja tuweke sawa..Yes ndio...
Mkuu Malinzi Habari yako
Ok kuhusu huyo bwana mdogo wa copa coca cola hamuoni kwamba ingesahihi kwake kuitwa kwenye timu ya taifa ya vijana kani huko ndio ingekuwa kwake rahisi kucheza mechi nyingi zinazohusisha hiyo timu kuliko kwa umri wake kumpeleka moja kwa moja timu ya wakubwa , hapo kwa...
Habari mkuu nimekuelewa
Kuna jambo moja niliwahi kuliskia ile tff iliyopita ikisema au kuliongelea pia nitaomba angalau maelezo yako kutokana na uzoefu wako '' ile TFF nakumbuka na nilishawahi kuwanukuu walisema kuwa leseni za uwakala FIFA inatakiwa kila baada ya miaka fulani im not sure kama...
BREAKING NEWS
Mahakama kuu ya Tanzania imetengua maamuzi ya Chadma ya kumvua madaraka Zitto Kabwe.
Judge amesisitiza sana umuhimu wa demokrasia na kuvumiliana inapotokea tofauti ya mawazo. Amesema, kila mtanzania anastahili kusikilizwa na kupewa nafasi ya kuamua atakalo bila kuvunja katiba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.