Kweli kabisa mkuu. Siku hizi mie hata kupeana mikono na watu nimestop, nasalimiana huku nikiwa nimeikunja. Cha ajabu wanaopinga hapa wanaonekana ni wanaume, nadhani ni yale maumivu wanayoyapata.
mzabzab wants to be friends with you on Facebook.
tinna cute wants to be friends on Facebook.
Confirm Request: See All Requests
charminglady has confirmed that you're friends on Facebook
mzabzab and charminglady are now friends on facebook
New message from mzabzab...
Wanaujua vizuri, Jf yenyewe kuna watu wameambulia manyoya mara kibao, sembuse facebook, unakuta mke wa mtu ana marafiki 1024, halafu wote hao awe anachat nao kuuza chai tu, thubutu!
Kwanza sitaki mengi, wanipe user names za wake zao, sitaki wachumba wala wapenzi, i mean wake. Nitakuja kukopy na kupaste link ya chat history hapa kama mtu hajafa, mie sitajali chochote coz nitafungua account ambayo nitaifunga baada ya zoezi.
Rekebisha kwanza signature yako, umeikosea: "Kushindwa kuelezea mwanzo haina maana nikubali kuna fisi mwenye mikia saba aliyeumba sungura wote duniani" -Introvert
Nakubaliana na wewe lakini kuna watu wanabisha kwa sababu inawauma. Kuna jamaa moja ni mtu wa makamo alisema siwezi tena kujiunga na mtandao wowote wa kijamii, baada ya kukuta wall ya binti yake aliyekuwa form 4 wamepiga picha analiwa denda na mtu hata hamjui! Alikataa kata kata kumlipia ada ya...
Anayebisha aanzishe hiyo aone kama hajavunja mahusiano fasta. Tena aweke mipicha ya migari mikubwa mikubwa kama Hammer na miBMW kama hajamtongoza within mins.
Wewe dogo una matatizo gani, ungeweza kupita tu, kwanza una wasiwasi gani wakati mumeo hata facebook haijui, yeye anajua ni kitabu. kwani JF ni yenu mpaka umwekee mtu mipaka ya kuandika, umeletewa data unalia, kwenda zako huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.