Kwanza Chupi nyeupe kuwa khaki hiyo noma,pili usafi wa chumbani hiyo noma kwa haya tafuta wanawake wezake wawe wanaongea story za usafi kwa mwanamke. Kuhusu mchepuko dont do kama mumeoana labda itokeee tuu, cha muhimu ni kumfanya yeye afurahie kila dakika ya hilo tendo ...licha ya kuwa na...
Kuchukua alama za vidole na vitu kama hivyo kama DNA haitaji any connectivity zaidi ya equipment za sehemu husika....analysis yake ndo inaweza kuhitaji connectivity na server ku fetch na compare na saved data.
Anyway kama hii ilikuwa ndio mradi ulivyotakiwa kuwa(Synchronized System) maana yake...
Hii ni propaganda ya Wakenya kuonyesha Tanzania inatatizo na hao alshababy.
Hawa dawa yao ni kuwakanusha propaganda zao on spot.
Liability ya source ikoje?Ugumu wa ku make up story ukoje?
Mzee Mwanakijiji
You have failed to understand the argument.
Maneno mengi hayajibu swali.
Is easy to be advocate of changes that's way whoever talk about change make senses .And whoever go against doesn't make sense ,simply because it doesn't make sense.And if you try to make sense as what you...
Maelezo yako nadhani hayajibu dukuduku la conflict of interest kwa mwenyekiti wa chama kuunda tume ya uchaguzi kwenye demokrasia changa na mifumo dhaifu ya udhibiti kama takukuru, polisi, usalama...hii hizi taasisi bado zina pata direct order toka kwa huyohuyo mwenyekiti ,tofauti na USA ambapo...
Lowassa anafanya watu wanapiga push ups ,watu wana tukana ,watu wana loose credibility ,ila muhimu wengine wanapata kidogo kitu kutoka budget ya kampeni........
Dude pole sana Mwanakijiji just know is so easy to be advocate of changes...ndio maana ilikuwa rahisi kwako kipindi hicho...ila kwa...
Ungesema siku zingine ila Tanga alikuwa yuko so energized ....nakushauri watch video ziko youtube na kwingineko Facebook etc........add Facebook :Uchaguzi Tanzania
Kama unapiga propaganda understable ...just ignore my comment
wahaoni uitikiaji wa watu kwa wanachoongea ,kwani wafundishwi hilo ....wanaoshangilia ni wale wa mbele tuu ambao uwezekano mkubwa ni jumuiya ya ccm ....
Nilidhani utakuwa honest kusema habari imekuchanganya kwa kuwa kafanya mikutano zaidi ya mitatu jana kumbe una team unayoshabikia .
na kukitaka video ya mumbuli vijana wawili wanatiwa ndani ya gari ya polisi na mkutano unaendelea utapewa.
Ok hii ya Chanel 10 wanasifia ten...
Watch "HABARI SEPTEMBER 28 | AZAM TV" on YouTube
https://youtu.be/0uKy4BcSRN0
Link hii hapa anayetaka kusikiliza kilichotokea Tanga Mjini na sehemu nyingine Tanga.
Hii ni Azam TV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.