Bunge lipi na nini kitakachojadiliwa chenye tija na maslahi kwa taifa. Wakati mwingine tunapumbazwa badala ya kutafakari na kutafuta njia sahihi ya kujinasua tunaishia kushangilia na kupigia makofi hata visivyofaa wala kustahili
Msukuma anajificha kwenye kivuli cha darasa la saba kusukuma ujinga wake huku akidhihaki na kutukana wengine. Kuona sio kutambua, nchi inazamishwa na walafi wachache kwa kigezo cha tunacheleweshwa. Haraka ya kuzamisha nchi kwa masilahi ya kundi fulani inatoka wapi. Masuala ya nchi ni lazima...
Hili jambo wangeamua kukaa kimya linge resti ini pisi. Kwa kuamua kuliundia tume na vikundi vya kulichunguza ni kuendelea kumchokonoa marehemu na wafiwa. Kwa kufanya hivyo kamwe halitaweza kuresti ini pisi na kufikia tamati. Uongo haujawahi kuwa na nguvu mbele ya ukweli. Sifa pekee ya uongo ni...
Kuna mambo mengi sana yanasongeshwa kimya kimya na wananchi kwa bahati mbaya ama kwa kutokuelewa wameamua kupuuza na kutodadisi/kuhoji mambo ya msingi kwa mustakabali wa nchi yao na kishia kufumbata udaku na majungu tu.
Serikali iliyojaa wezi itawezaje kuwashughulikia baadhi ya wezi miongoni mwao. Itakuwa ni bla bla pekee kama ilivyoshuhudiwa kwenye matukio mengine.
Kwa uchache tu; Orodha ya watuhumiwa wa madawa ya kulevya anayotembea nayo MKUU WA NCHI kwa kipindi cha takribani miaka nane sasa imefanyiwa...
Kuwa na watawala kama Pinda ni janga kuu kwa Taifa; kauli zake zinatia kinyaa na machukizo mabaya sana. Ashukuru yuko kwenye kundi la viongozi dhaifu na wa hovyo vinginevyo angekuwa kijijini kwao akilima mahindi na kufuga nyuki.
Tanzania ni zaidi ya meli inayozama ambapo kila mtu ndani yake huhangaika jinsi ajuavyo ili kunusuru maisha yake. Ni aibu iliyoje walio nje wanaona na kutuonea huruma kwa uchafu na uovu unaofanywa ndani ya taifa letu lakini viongozi kwa jeuri na kiburi ama kwa kuwa wananufaika na uovu/uchafu huo...
Hili ni pigo la kwanza kwa SamwelI Sitta & Co. Ltd. Sijui Asha Migiro na PHD yake ataficha wapi uso wake baada ya kudanganya umma wa Watanzania kuwa mahakama imebariki kile kilichokuwa kinafanywa na BMK.
Kimsingi Sitta na timu yake wamejitengenezea EPA yao kwa mgongo wa BMK
Hao wengi unaojinasibu nao sijui wanatoka wapi zaidi ya genge lenu lililojivua utu na kuamua kulamba miguu ya watawala kwa minajili ya kupata mkate wa siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.