Mimi Naitwa MILANZI naishi MBEZI nimenunua vocha ya sh. 10,000 juzi nimeweka katika decoder 02035160274 nimepata baadhi tu ya channels kunfu inaganda na baadhi. Na ile offer mliosema siioni hapa tatizo mini? Startimes?.
Nimeshuhudulia with wanakusanyika kwenye nyumba moja hapa Mbezi juu mtoni wanapatiwa pesa kumpitisha mgombea udiwani mwanamke jin a silifahamu. Lakini wanachofanya wanachukuliwa with (vijana) kuwapa pesa na with wengine wanaotakiwa wapige kura hawaitwi. Napenda kujua wanaotakiwa kupiga kuta ni...
Kwa anyehitaji kiwanja cha ukubwa wa sq mita 600 kina offer katika plan y manuspaa.umeme na Maji vipo. Bei sh. 9,000,000/ .nipigie 0715500248,0756171831.
Ndugu wadau Nina kiwanja kilo morogoro kihonda kwa chambo kina ukubwa sq mita 600 kipo karibu na Barabara. Huduma yq umeme IPO Maji ya kisima cha kuvuta. Kipo kwenye ramani. Being maelwwano. Cont 0715500248
Pia Nina mashine ya max malipo inafanya kazi nataka kubadili biashara. Being laki 5...
Naomba kujua faida na hasara za kutumia dawa za kuongeza nguvu erectro mg 100. na dawa ipi nzuri naweza kutumia kunipa nguvu ya kupiga bao tatu nikiwa na age 50?
Kwanini Dar imefurika wahamiaji toka Malawi? kuna nini wanakimbia kuja Tanzania kuja kuchimba mchanga Mbezi Juu na kulala kwenye chumba kimoja watu 20? Serikali ya mtaa inaona lakini wamefumba macho au wana vibali?
Hii italeta shida wakati wa uchaguzi mkuu. Nawaomba wahusika na hili...
Pamoja katika sera za Wizara ya elimu kutoa tamko hakuna mtoto kumlipisha pesa za tuition, lakini shule hii mtoto kila siku lazima aende na sh, 2,000/ sh. 300 iyo quick test. 200 ya uji. 300 ya mtihani wa mchana. 500 ya masomo ya ziada jioni hata hivyo wanapewa maswali tu alafu wanabadilishana...
Nina sanlg T 190 BTW imatembea ina hali nzuri. Bei 800,000. Na nina boxer 100 nayo nzuri isipokuwa inavuja oil katka engine, bei mil 1. Cont. 0715500248.
Mimi nina miaka 49 nina mke na watoto 3. Nataka rafiki kati ya miaka 30-45. Awe mstaarabu na kujiheshimu. Asiwe na marafiki wengi wa kike. Mzuri kwa sura na umbo. Awe maji kunde au mweusi. Elimu ya uelewa. Asiwe kaolewa. anajitegemea/ kazi au mjasiriamali. Tuwasiliane ktk. PM au e mail...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.