hakuna nchi yoyote ile inayoruhusu raia kuvaa sare za jeshi...kwa hiyo mnao link tangazo la jeshi na siasa nyie ndio mjiangalie kwanza hakuna siasa jeshini labda liwe jeshi lako binafsi la kisiasa......
huyu kijana wa Big result keshanichefua, anahitaji ushauri kwa sababu kma imetokea kafaulu apewe ushauri abaki kwao kwa bibi alime itamsaidia kwa sababu akili za kijinga namna hii mapema utapoteza fedha za wazazi
Dogo inaonekana una mihemko ya ujinga ndani yako...
Kama walivyosema wakuu hapa huenda ulitaga, tena yai viza...
Punguza mihemko yako na usirudie tena kufikiria utumbo kama huu. Kwani inaonekana unahitaji ushauri kielimu ili uelewe nini maana ya elimu na mihemko yako ya kimawazo
Umenena yaliyo ya busara na ukweli.
Watu wamekuwa wakisafirisha fedha kimazoea ile hali zipo kampuni za ulinzi na za usafirishaji fedha.
Kwa mtu mwenye kufikiria vyema hawezi kukurupuka kulaumu polisi labda iwe ni mazoea tu ya kuropoka kutokana na mihemko ya ujinga
baadhi ya watu wana uelewa mdogo sana...
wanaleta siasa kwenye masuala ya kutumia akili yako mwenyewe?eti unauliza polisi walikuwa wapi?...jukumu la msafirishaji wa fedha kutoa taarifa ili kupata escort ya polisi na sio ujinga wanaofanya kubeba fedha kama mandazi ukipasuliwa za kichwa wajinga...
fuata mkumbo upoteee,,haKUna chadema hakuna ccm wote wapo kwa ajili ya matumbo yao,,------- KABISA......DIRTY POLITICS DIRTY PEOPLE, JIULIZE HUYO ZITTO ANGEKUWA MTU WAO WANGEMFANYIA HIVYOOO, NA HAWAKUJUA TANGU WALIVYOKUWA NAE AU,,,WATANZANIA AMKENI EPUKA SIASA CHAFU
i'll always prefer dictatorship to democracy.....democracy in africa is as ......and poverty in our continent....sasa hao wehu wanaozungumzia democrasia katika umaskin huu ndo wanataka kuzidi kula nchi.
Matusi kwa baba wa taifa ni kuonyesha jinsi gani unaendeshwa kwa mihemko ya chama
BE...
kuendekeza uzembe huko, jeshi la polisi linakosa intelijensia katika shughuli zake ni aibu tupu kama ingekuwa kazi ni kuhonga pesa ili kupata wahalifu basi mtu yeyote angefaa kuitwa polisi,,,,,,serikali isituchezee michezo ya kitoto ilopitwa na wakati
samsung chat gt-e2222 inauzwaa bei chee 70000 ! tu na pia kuna pC USED FUJITSU HD 40 GB NA RAM 500MB BEI 200000 TU WITH ""Microsoft office,adobe,music and video players na ant virus avast 1yr ka unahitaj npo UDOM Mawasiliano 0765338964
Wanasiasa wanaosema kuwa wana ushahidi dhidi ya uhalifu unaotendeka nchini kama vile ujangili ambapo mch msigwa anasema anawafahamu vigogo hawataji,zitto kutuhumu serikali kuhusika katika kuteswa kwa absolum kibada lakini hawatoi ushahdi ..je hii ni kuchezea akili ya mwananchi kuwa wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.