Mungu ibariki Tanzania. Hatimaye mengi kashinda, naona anaongoza nchi akiwa nje ya serikali. Anatumia pesa kufanikisha ubinafsi wake. Anataka kila kitu kiwe chake, serikali, pesa, madini, mafuta, gas, viwanda, siasa, dini, media. Hataki mtu mwingine kugusa maeneo hayo. Inabidi tumuombee atambue...
Kuna jamaa mmoja asingekuwa upinzani ningewapigia.Nilihama rasmi upinzani pale alupoitetea mitambo chakavu kununuliwa na serikali. Leo atapinga akivuta mshiko ata support. Jamaa nilisoma nae chuo akionfea unamkubali akishakupa mgongo anafanya opposite. Sasa hivi anawachanganya chadema na ccm...
Jamani huyo amefanya kazi zaidi ya kufundisha. Kwa hiyo ana experience zaidi ya kufundisha. Unahitaji vyote katika kufanya kazi experience na academic qualifications. Sema ndo hivyo anakuja kufanya kazi na wanasiasa na wafanyabiashara wenye pesa na roho mbaya. Itakuwa ngumu.
kaka umesahau kuweka jet fuel, na pilots, Engineers na cabin crews? hebu fanya huo mchanganuo uongezee kwenye hiyo sub total ili tupate grand total ya hizo gharama.
Ni bora nimuunge mkono Sitta na wapigania haki wengine ndani ya CCM kuliko kuwaunga mkono mafisadi (Rostam, Chenge, Lowassa).
Mafisadi ndo wanakiua chama na si Sitta, anachofanya si sitta ni kujaribu kukiokoa chama na watanzania. wapuuzi wengine wakisha kula hela za mafisadi wanakurupuka na...
We umepewa hela na mafisadi nini. KAma umeshiba maharage nenda kalale sio unatuletea upuuzi hapa. Sitta ni mtuu pekee aliyewapinga mafisadi bila kuogopa sasa wewe unataka awakenulie meno huku moyoni analia kama mlivyo watz wengi!!!!
It is so sad to see things like these happening in our poor country. The president is the one to blame, undisputable!!!. All those who are involved shall one day pay when the payback time arrives, they will never get away with it. Cause the one who fights for us is stronger than them all, and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.