Aisee huyu jamaa hayuko makin kama waziri wa mambo ya nje anakubali kwamba kuna watanzania wengi tu S.Sudan na haonyesh jitihada zozote wala hajui ni watz wangapi wakat nchi nyingine zinatakwimu ya raia wao walio kwama S.Sudan.
Kabila langu Nyerere mi nsha toka zaman kwenye ukabila.....sasa wewe sijui umetoka Rwanda,Kenya au South Sudan pole sana kwa ukabila, cha msingi fanya kazi kwa bidii na kama unasoma basi soma kwa bidii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.