Kuna jamaa kule Twitter naona kacopy Kama ilivyo [emoji1787][emoji1787] bila hata kitana source..wakicopy makala zake anakuaga mkali Sana.. binadamu Sisi [emoji1787]
Kifupi hela unayoipata haitoshi kuishi maisha yako na kusave, sio kwamba huwezi kutunza hela. Mimi mwenyewe wale wale mkuu. Kuna mbinu yakutumia hela kabla hujaishika inasaidia sana atleast unakua hauna hela ila una move kimaisha.
Mapogoro msimu wa kupanda balaa...ila wale washenzi muda wakurudi kwao hata nauli wanakuwa hawana..kazi yakushindana na mafogo kwenye kuhonga na kula biyaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.