Huyo anaakili sana kama ameweza kutambua kuwa alifanya makusudi. Pia anauwezo wa kujenga hoja kiasi hicho in genius b kabisa. Exposure kwake ndio tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa nakumbuka nilivyomla mwanachuo mmoja hivi kimasihara nikiwa field mwaka Fulani huko singida.
Kisa nilibishana na mshikaji kwamba sitamuweza matokeo yake alisoma namba.
Anyway nahisi yupo hapa wacha niishie hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni sana walimu wenzangu pamoja na wanafunz wa nyakahanga sekondari kwa kifo cha mzee wetu mwalmu wetu Erimelick Kanyabuhura mkuu wa shule mwanzilish nyakahanga sec aliyetutoka dunian. Tutamkumbuka kwa utendaji kaz wake na kwa mapenz yake ,hatuna budi kusema kaz ya mungu haina makosa na mungu...
Ni ngumu sana kuamini lakini huu ndio ukweli Mkuu wetu wa shule leo hauko nasi. Anyway huyu alikuwa Mkuu wa shule Nyamongo Secondary 1997_2007
Nyakahanga Secondary 2007_2017
Chabalisa Secondary 2017-2019 January
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%
Fuatilia mwongozo huu: Mwalimu hakikisha umefika shule muda husika, simamia usafi na kama wanafunzi hawaonyeshi kushiriki kufanya usafi, tafadhali usishike kiboko. Mwalimu kumbuka muda wa vipindi ukifika hata kama mazingira ya shule ni machafu...
Mwalimu kutoadhibu ni jambo linalowezekana kwa 100%
Fuatilia mwongozo huu: Mwalimu hakikisha umefika shule muda husika, simamia usafi na kama wanafunzi hawaonyeshi kushiriki kufanya usafi, tafadhali usishike kiboko. Mwalimu kumbuka muda wa vipindi ukifika hata kama mazingira ya shule ni machafu...
NAMNA YA KUWA MWANAUME USIYEKERA WANAUME WENZAKO.
1. Ukija kijiweni au pub au kwenye nyama choma acha zile stori za sijui umesoma wapi hadi wapi, sijui una madigirii mangapi. Piga stori nyingine, mbona ziko nyingi tu. Kujielezea sana shule yako ni ushamba fulani hivi, dizaini kama hujiamini so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.