Kumbe wana mkwawa tupo wemgi sana humu ndani ya JF... Wengine hata hatukuchua vyeti vyetu, na sasa hivi ni college sijui tukivihitaji tutavipata vipi
vinapatikana ifunda mi nlienda 2005 nkakipata chakwangu wanavyo vyote vimehifadhiwa
jamani mnamkumbuka mwl galigo wale wa aggrey east...
duu namkumbuka mgimwa na vile vimikate tukawa tunaviita vimgimwa?
jamani tuwasiliane tuwe kama tuna gathering mnajua hilo ni bonge ya skuli
nakumbuka kombolela la baunsa kwa wale wa maghembe east na west
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.