Dar tayari iko oversaturated ukifungua biashara Dar kama Huna mtaji utakuwa wewe ndio mteja wa Wholesaler wale. Muhimu ni kitafuta sehemu kwenye utawala wako na kupiga hela zako huku ukikua napo.
Ndio maana kuna makabila ni wafanyabiashara wazuri ila huwakuti Dar, kuna wasukuma wa kinyantuzu...
Wauzaji wa jumla wao wanapata pesa saana maana wao mara nyingi hawana dead stock... yaani anakuuzia wewe pieces 300 lakini unaweza kuishia kuuza pieces 120 tu na zingine zikaharibika na kuwa dead stocks.
Wauzaji wa jumla wengi wana mitaji mikubwa na umakini mkubwa hivyo risk ya kuwa na dead...
Absolutely true! Mungu huwa hachelewi anakuja kwa wakati sahihi tu. Nashukuru Mungu kilikuwa kipindi kifupi kigumu saana lakini nilijifunza mengi saana.
Kwa vile nilikuwa na pesa awali hata kuomba msaada nilishindwa maana nilikuwa nawaza watu watanicheka na Mama yangu hakuwahi kujua maana...
Nipo mzawa.. mzima wewe? Mambo tu yamekuwa mengi.
Sijui hata yuko wapi siku hizi yule mtani wangu msomi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefurahi kuona bado upo JF.
Way back niliendaga Tanga nikanunua demu elfu 17, akaniambia hiyo hela ya gesti Bora nikalale kwake tu then nimpe yeye. Nikakubali nikampa 27.
Wewe! Kumbe pale bei elekezi Huwa ni buku 7 tu... Kwa hiyo nimempa top 10 na 10 ya kwake.
Nilipewa Bumbu Hadi nikasusa maana nikaanza kukojoa upepo na...
Muulize Michael Jackson alijifanya anawapenda watoto akawa anawaleta Hadi kwake wanalala watoto Hadi 10. Aliishia kuambiwa yawezekana anawabaka watoto... Ilimsumbua Hii kesi Hadi akafariki.
Wana option kadhaa Kuna zile za kununua mzigo kwa auction online na wanakutumia via Agent Hadi kwako... Wana legit and reputable companies za kuuza bidhaa from. If supermarket kaka Aldi na Gardenline. But sishauri saana njia hii maana sijawahi kuitumia.
But njia nzuri ni kwenda physically after...
Kwenye business it's all about ROI(Return of investment) Kuna aina ya biashara return yake after investment ni kubwa na risk yake inaweza kuwa calculated. Biashara zozote ambazo wewe ndio unapanga Bei huwa tamu saana na ndio Zina return nono.
Ukituliza akili Kama una 64mil unaweza kudouble...
Unalipia kwa apps ya malipo ya Alibaba app inaitwa alipay... Wale jamaa hata ndani ya siku 15 usipoipekda bidhaa unarudishiwa hela yako.
Nawakubali saana Alipay.. bes API payment system.
Una hata haja ya kufungua sanduku la Posta... Wewe andika address na jina la Posta unayoenda kupokelea mzigo then wao watautuma kwenye Posta husika then wewe mhusika utafuata mzigo wako kwenye Posta uliyoiandika.
Sio lazma uwe na sanduku la Posta ndio upate item yako toka AliExpress...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.