"Madakitari mmevamiwa nawashauri mtafute njia nyingine make kama udaktari unagawiwa bure kama njugu ni baraha hii bana,hata mimi nataka nifanye shotikati bila kusoma niombe.
"Mwache aongee na watoto kwani yale mengine mazito si yamekataa kutatuliwa na yanapigwa na danadana,Richmond,Ticts,Reli nk.Sasa sahizi yake ni watoto sisi watu wazima tunamboa kila wakati richmond richmond mpeni watoto tena watoto ni wa kuchaguliwa na kujulikana wametoka familia gani, na kwa...
Usichukue notice za masomo hukazileta kweye JF kuchangia, unafikiri hawa watu wanakurupuka tu kukata rufaa bila kuwa na washauri wanasheria.Ninaimani kuwa hawa watu wanashauriwa na wanasheria wao baada ya kuangalia taratibu zote zinaruhusu.Naona nyie ndo mnaenda kufanya kazi na notice za...
Ni challange kidogo, picha ni nzuri sija kuelewa kidogo, inaoneka bridge ina float juu ya maji, hivyo water is withstanding the weight of the floating bridge, it is still a puzzle to me,I still remember my law of floatation that in order an object to flaot on any kind of fluid has to be denser...
"Nilishasema Tanzania hatuna vyama vya upinzani hamuelewi?.Ni kwamba ili tufuate sera za magharibi na matakwa ya IFM na Bank ya dunia sisiemu ilibidi waanzishe tuvyama watuite vyama vya upinzani lakini kiundani ni sisiemu.Ndiyo maana viongozi wa upinzani wakienda vizuri wakakaribia patamu...
"Yawezekana demu ana matatizo,wameshakula watu na kupita watu wengi hivyo imemkera sana, na anaona labda na wewe inaweza kuwa hivyo,ukamega na kupitia.Kingine nikuwa okay,vumilia lakini wanawake wa sasa hivi mambo yamebadilika sana,ku funga ndoa bila kutest tegemea mawili kuvunjika au kuwa ndoa...
"Pole sana mnaoangaika na mambo haya, mimi mpaka sasa sijui niko chama gani, mwaka huu nimetaka kukata kadi mpaka nimeshindwa kuwa niingie chama gani hivyo nimeacha mpaka miaka mitani mingine sioni chama chochote, alafu uzuri ni kwamba haininyimi usingizi wala hainipi chakula wala kupeleka...
"Ni kwamba makanisa na misikiti wafunge sound proof, wanatukela mno tena mno,serikali inaweza kuwambia bwana fungeni sound proof sio wanfungua makanisa alafu makelele mtindo mmoja, by the way lile kanisa la tabata kisiwani mchungaji amesalimu hamri na kulivunja na kufunga vilago baada ya...
"Kwani kuna shida kama ukiaahidiwa kupewa uwaziri mkuu mara pale mafisadi watakapo twaa nchi kwanini usitetee" Hata Yesu alihadiwa na shetani ingawaje alikataa kata kata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.