Kama unajua chuo chochote knachofundisha kozi tajwa hapo juu kwa ngazi ya cheti na diploma naomba unifahamishe kwa kuandika jina na mawasiliano kama yapo nasubiri msaada wenu wapendwa
Daaah wadau last week nlpoct kugundua gal nliempita alikua na v.v.u nikajitia ujasir nikaenda chek afya npo mzima kuanzia xaxa mtandao wa ngono basi tena sitaki kbxaaaa nawashaur mkapime wadau ambao amjajua afya zenu
Wadau ushauri wenu nauhitaji nini nifanye baada ya kula kujamiiana na msichana ambae nimegundua ana V.V.U japokuwa nilitumia mpira sina imani. nlpga miez 6 iliyopita na nmerudia last week wkt huo nilikua cjui nmejua jana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.