Ruge aliliripoti Polisi Oysterbay baada ya tukio. Vita ya Madawa ilikuwa ni feki na njia ya kuficha ouvu wa RC wetu. Jiulize imekuaje RC kapewa magari na watuhumiwa wa madawa ya kulevya? Ameokekana mara kadhaa kitumia magari 2 aliyopewa na watuhumiwa wake sema ndio hivyo anadhani yupo juu Sheria.
Kwahiyo hao wauza ngada ndio walimfanya afoji vyeti, wakamlazimisha achukue magari yao na ayatumie kwa shughuli zake binafsi na ndio waliomwambia akavamie clouds?
Songoka,
Habari Mkuu? Hili suala la mchanga kutoroshwa kwenda nje ya nchi inatakiwa uwe na uelewa wa hali halisi ilivyo naona na wewe pia wengine wanachangiaa kuwa kwa nini Tanzania inashindwa kuwa na tanuri la centigrade 1,500. Hapa kinachotokea ni watu kukosa uelewa kuhusu huu mchanga...
Naishauri CCM isome alama za nyakati. Katika matokeo ya uchaguzi wa ubunge wa viti maalum kupitia VIJANA yaani UVCCM inaonesha kuwa watoto wa wananchi wa kawaida hawana nafasi ya kupata fursa za uongozi kupitia UVCCM.
Kati ya majina 7 ya walioshinda nafasi hizo wote ni watoto wa viongozi wa...
Hongera Ndugu kwa majungu ya uongo yasiyo na kichwa wcala miguu. Kwahiyo ukienda kukaa nje ya TZ miaka mitano ukirudi utakuwa umesahau matatizo ya Tanzania?
Vita Kawawa hawezi tena kuchaguliwa huko Namtumbo wananchi wameshamchoka sana anaishi zake Mikocheni Dar anakula bata tu jimboni haonekani na bungeni kimyaaa hasikiki akiuliza hata swali. Ni dhahiri Mama Sijaona akiingia watu watampa kura zao.
Vita Kawawa ameshindwa kabisa kuendeleza jimbo lake, nilikuwa jimboni kwake mwezi uliopita jimbo lipo hoi na wananchi wamemchoka kwa kweli na wanajua kilichofanya aendelee kuwa Mbunge wao ni kubebwa kwa kuwa ni mtoto wa mkongwe Hayati Rashid Kawawa. Sijawahi hata kusikia akiuliza swali bungeni...
Katika deal ya Escrow kuna mambo mengi hayajawekwa wazi bado kwahiyo Huyo Mama lazina kaplay part fulani katika hiyo deal. Kwa mfano watu waliochota hela kupitia Stanbic mpaka leo hawakawekwa wazi. Haiingii akilini mtu kupewa mchango wa shule Sh. 1.6 bil. na kwanini haikuingizwa katika akaunti...
Kama Mama Tibaijuka anatengeneza hela kiasi hicho, naweza sema she is very stupid kujiingiza katika deal kama ile na kuharibu image yake kiasi hiki, while she was rich already.
Dr. Kafumu amekuwa msemaji wa wenye migodi au?, iweje apinge data za Taasisi ya Serikali ambazo migodi yenyewe haijawahi kuzipinga, anaishia kukosoa tu bila kutoa data zake mwenyewe. kaishiwa huyu bwana, na 2015 hawezi kupita nasikia wana Igunga hawataki kumsikia.
TMAA sasa yaongeza mapato mrabaha ya uchimbaji, mauzo
Jumapili
Mei 26, 2013
Source: TMAA sasa yaongeza mapato mrabaha ya uchimbaji, mauzo - Biashara - mwananchi.co.tz
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umeongeza mapato ya mrabaha kwenye uchimbaji na mauzo ya madini ya ujenzi mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.