Nina waraka nimepata wa waislaam. Nitauscan na kuupost muone. Hawa jamaa wameamua kweli kweli. Ni mtandao mpana kitaifa. Serikali isipokuwa makini, tunaelekea kubaya.
Tatizo ni kwamba baadhi ya viongozi wa dini wanajisahau kuwa wanaongoza watu wa itikadi na mitazamo mbalimbali. Kanisani na misikitini si mahali sahihi pa kiongozi wa dini kuonesha ushabiki wake. Bora akaonesha ushabiki na mapenzi yake kwa familia yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.