Watanzania tuna shida.
Wachangiaji wengi wa Uzi huu hawaoni faida kwa wagonjwa. Au kwasababu nyie mu wazima ?
Mgonjwa aliyekosa kitanda jana na kulala chini. Leo kapata kitanda
Hata hilo hamuoni ?
Kuhusu sheria ya manunuzi achieni PPRA
BP. 2015
@tototundu Tafadhali nifafanulie zaidi.
Je
a) Unatumia usb modem connected to a PC (je ni winxp or win vista or win7 ?) alafu through ICS unashare distribute internet from the PC
(je ethernet port to a wifi router / AP)
AU
b)unatumia wifi router ya Airtel which distibutes directly kwenda...
1. Inanikumbusha simu ya kwanza kuiona. Ilikuwa ni Mobitel aina hii
2. Then zikaja motorola zile ambazo unaweza kuweka battery za kawaida (betri za redio) kama ukiishiwa charger.
3. Then zikaja Ericson nick named 'Mshindi'
4. Then ikaingia Nokia era..6600, 2100, 1100 , 3100, Motorola pia...
Za Jumapili,
Kuna Dedicated connections - Ambayo link yako is not shared with any other person. I would recommend a 512kbps link for 15people. Average prices for 512kbps =$700/ month
Kuna Shared connections - Ambayo link yako ni shared na watu wengine. This is not as fast as the first one but...
I Wish to Differ...
It doesn't need super engineers. It just needs 'smart' and 'innovative' peers.
Check out RapidSMS / SMS Application Framework. Look at the case studies - how sms has helped in Africa. Start from there...
Hope it helps
B.P (2010)
An Update on this post
Subsidized Laptops for 15,667 Kenyan University Students - Real ICT4Edu Investment
The Kenya ICT Board and Kenya's Ministry of Information and Communications (MoIC) are about to launch a bold experiment in getting the tools of ICT into the hands of tomorrow's leaders...
1. ANTITRUST
Angalia Trailer hapa
IMDb Video: Antitrust
Nzuri sana, Reminds me of the battle between Free and Open Source VS Closed Source. While watching ask yourself - who is Gerry and who is Milo (in the current I.T industry).. im sure its easy to tell.
1. BIG BANG THEORY (SERIES)...
I would like to differ in red. Copper is a solution but it is not the only and certainly 'proper' solution. Remember with copper, speeds decrease the further you are from the exchange as a result of attenuation.
If there is already copper laid next to you, it is feasible to use that. But in...
@edjizzo, malizia kudesign hiyo blog bwana. Nakushauri ondoa hiyo Warning ya kuingia. Alafu mbona homepage yako , content inaanza Katikati ya page badala ya kuanza Juu. Ndio maana page inaonekana blank.
Hata Michuzi ana blogu nzuri zaidi yako alafu fani yake ni kupiga picha.....mbona wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.