Look for this you tube, at some point in time, Italy leaders were like current Tanzanian leaders. I usually believe peoples power. If people decided today there is nothing that we can not do. And we will get a a point of enjoying the fruits of peoples power. Check this link...
JE NI KWANINI TUZITUMIE POSTA, BANDARI NA AIRPORT ZA TANZANIA? Siku chache zilizopita, kumekuwepo na malalamiko ya kutosha kuhusiana na Airport, Posta pamoja na Bandari ya Dar. Na kusema kweli, hali ya hizi idara zinatisha kiasi kwamba tunaonelea ni vyema tuukane uraia wa kitanzania na kubakia...
Mimi nafikiri zoezi hili wamelikimbilia kabla ya maandalizi fulani kufanyika. Kwanza kulitakiwa kuanzishwa kwa national identity card halafu hapo ndio wangeweza kusajiri hizi number kiurahisi. Sasa wanaiga tu nchi za watu, hawajui kwamba kule wana national identity card tayari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.