Search results

  1. MSHINO

    Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

    Hiyo ni project ya JPM aliacha amelipa advance.
  2. MSHINO

    Mashabiki wa Simba SC tuamke, Mo Dewji anainyonya sana Simba

    Toa pesa wewe upewe matangazo
  3. MSHINO

    Rais Samia anafanya makusudi tu

    Inasikitisha sana, wiki iliyopita nilik Wiki iliyopita nilikuwa wilaya za Kibondo na Kasulu nilishangaa kuona magari yenye namba za Rwanda, Kenya na Burundi kuwa vijijini kununua mazao ya chakula muhogo na maharage direct kutoka Kwa wakulima , kwa nini tunashindwa kulinda soko letu ?
  4. MSHINO

    Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

    Ndiyo pesa ziko nje mwacheni aende, si mnajua ndani hakuna kitu. Km nyumbani kwako wakati wa kilimo hulimi utavuna kweli? lazima utafute vibarua au msaada. Mama kaza mwendo tafuta hela.
  5. MSHINO

    Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

    Zambia kuna TAZARA mkuu au umesahau?
  6. MSHINO

    TCRA: Kipindi cha Shule ya Uongozi cha Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji

    Tunajua kwa nini TCRA wamemfungia: Pia na wao hawana makosa kwa sababu TCRA haiko huru ulitaka boss TCRA afanyeje amfungie Polepole au afukuzwe kazi? kwa kifupi tunahitaji katiba mpya ila kila taasisi iwajibike kwa wananchi badala ya kwa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama tawala. 1. Lkn...
  7. MSHINO

    Tulinganishe kauli mbiu na vitendo

    Mkweli ni Yupi kati ya hawa: Uwazi na ukweli, Maisha bora kwa kila MT, Hapa kazi tu, Kazi iendelee Ni awamu gani Ilitafsili kauli mbiu kwa viendo tukianza na awamu ya 3? Awamu ya tatu: Mzee Mkapa (R.I.P) Kaulimbiu : Uwazi na ukweli Awamu ya Nne: Mzee Kikwete Kauli mbiu : Maisha bora kwa kila...
  8. MSHINO

    Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

    http://www.zanzinews.com/2013/03/mwenyekiti-jukwaa-la-wahariri.html Mmiliki wa Home Shopping Centre amwagiwa tindikali usoni LWAKATARE AACHIWA HURU NA KUKAMATWA PAPO HAPO https://zittokabwe.wordpress.com/2012/06/27/dr-ulimboka-kutekwa-kupigwa-na-kuumizwa-serikali-inawajibika-kutueleza/...
  9. MSHINO

    Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

    Watu bwana, aliwaua akina nani? mbona watu walikuwa wanamwagiwa na kutolewa macho hata kabla ya JPM, hata sasa dola ipo ukifanya unataka kuwa juu ya usalama wa nchi utashughulikwa tu, kuna watu wanafikiri kuongoza nchi ni kitu chepesi. ukipewa onyo acha husikii, kila siku ukiamka unamtukana...
  10. MSHINO

    Rais Samia jitahidi ukiwa na 'Jazba' Kauli hii usiwe unaisema

    Kwa hiyo unataka na mama afanye km JPM siyo?
  11. MSHINO

    Tumulike ufisadi: Magufuli tarehe 29/11/2015 alisema pesa za sherehe za uhuru za December 2015 zikapanue barabara ya Morocco

    HUNA SHUKRANI KABISA NAAMINI KM UPO DAR ULIKUWA UNAPITA HIYO BARABARA, WATANZANIA HATA AJE MALAKIKA ...... JPM HACHAFUKI HATA UFANYEJE.
  12. MSHINO

    Rais Samia jitahidi ukiwa na 'Jazba' Kauli hii usiwe unaisema

    Kuna tofauti kati ya Rais Samia na awamu zilizopita, Rais Samia alikuwa msaidizi wa JPM, akitaka ku WIN ma group ndani ya CCM ni kukaa kimya na kufanya yake kwa kutumia taasisi za Urais
  13. MSHINO

    Rais Samia jitahidi ukiwa na 'Jazba' Kauli hii usiwe unaisema

    Umenena: Rais wetu amekosea kwa sababu inaonyesha hakuwa na boss wake JPM. Tunapozungumza ''COLLECTIVE DECISSION'' maamzi ya pamoja. Kiongozi mkubwa km Rais na Amir Jeshi mkuu kulalamika mbele ya hadhara ni makosa. Kama kuna kundi linataka kumuungusha si achukue hatua. Urais si lelemama, Hata km...
  14. MSHINO

    Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

    Kwamba ukiwa komandoo uachwe ufanye utakacho?
  15. MSHINO

    Suala la Wamachinga: Leo ni zamu ya Mwenge, SUMA JKT wamefanya usafi na kuondoa meza zote -- sasa panapendeza!

    Juzi wamebomoa mtaani jogoo kuelekea juu viwandani, mwanzo tulifikiri ni along barabara kubwa kumbe zoezi ni mpaka mtaani.
  16. MSHINO

    SGR ikikamilika Bila Bandari ya Bagamoyo malori yatalazimika kupaki

    Well said, kwa kifupi kujikite kuunganisha miindo mbinu na jirani kwa kuiunganisha na reli ya SGR. mfano Rwanda, Burundi, Congo. Pia kuenga bandari kavu pale RUVU ili kupunguza msangamano wa mizigo bandarini hapo kazi kwisha Bagamoyo ni kutuongezea mzigo wa madeni usiyokuwa na tija. Rais...
  17. MSHINO

    Tujikite kumaliza miradi mikubwa iliyopo; madeni yaliyopo yanatosha. Haraka ya nini Bagamoyo?

    Ndugu watanzania wenzangu urefu wa pwani kutoka Tanga mpaka Mtwara ni 591.12km, kutoka Tanga mpaka Dar es salaam ni 195.07 na Dar es salaam kwenda Mtwara 397.39 km. Kwa kuwa umbali kutoka Tanga na Dar es salaam ni karibu sana yaani km 195.07, huku umbali wa kutoka Tanga mpaka Bagamoyo ni km...
  18. MSHINO

    Kwa wanaoona mbali, Waziri Ndalichako ni sumu kwenye mfumo wa elimu

    Wewe mwenyewe inaonekana bado hunauelewa, huhui kazi za waziri na nafasi ya mwanafunzi, nikuulize maswali ukijibu then nitakupa majibu: 1. Je, waziri wa Elimu ni kazi yake kutengeneza ajira? 2. Unataka kunambia wanafunzi wanaomaliza vyuo wote ni vilaza hana weledi ya kufanya kazi katika fani...
  19. MSHINO

    Utafiti 1990: Watanzania ni wavivu

    wajamaa asilia china na korea mbona ni wachaoa kazi?
Back
Top Bottom