Mtoa mada nakupa hongera Sana umeeangalia kila Kona ya ndoa
Kwa mtu ambaye hayajamkuta utaonaa hii mada Haina maana
Mkuu nakupongeza kwaa dhati kabisa umenipa kitu adhimu mkuu .
Kuna vitu umeongea vinamashiko makubwa
Hata Hamza angepewa nafasii ya kuishi Kuna Jambo angeeongea
Mungu awape wepesi wote waliopoteza wapendwa wao
Vyombo vya usalama vilete majibu why Hamza aliwauwa polsi na hakutaka kuwamimnia risasi abiria wapita njia na wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.