Sera mbovu na mipango ya kitoto ndivyo vyanzo vya uozo wa mambo mengi hapa kwetu Tanzania! Hivi kweli unaacha kushughulikia mizizi ya tatizo unadili na vijitawi vya tatizo??
WHAT A SHAME! Kama mitihani ndo inayofundisha haya twendeni.
Tarehe ya kuripoti Saint Augustine kwa 1st year ni kuanzia tar 18/9 na si vinginevyo.
Kitabu kushika hatamu kuanzia tar 24/9, hii ni kwa SAUT Main Campus hapa Ng'wanza!
Jiandae kupiga root nyingi za kwenye vipindi vya dini ya kisabato kama umechaguliwa hapo! Masuala ya power hour, uamsho na usabato kwa ujumla yamejaa utadhani ni chuo cha theology completely, ada nayo si haba 1,800,000/= tuition fees tu bado mambo mengine.
Hapo ni maumivu kwa kwenda mbele...
Wanasema ngojangoja yaumiza matumbo. Jamani ni nani aliye na tetesi au habari za uhakika ni lini TCU watatoa majina ya wanafunzi wataojiunga na vyuo vikuu?
Hakuna kazi ngumu kama kusubiri. Japo tetesi tu za matumaini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.